mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Bila kuwepo waandishi wa habari leo kuna mtu ilikuwa auwawe.Kuna MTU kasema "mnasubiri nini ?" HV ana maana gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kuwepo waandishi wa habari leo kuna mtu ilikuwa auwawe.Kuna MTU kasema "mnasubiri nini ?" HV ana maana gani
Werrason umenena!Mzee wa goli la mkono limemrudi!!!.....Malipo ni hapahapa!!!
Tunapotaka Jeshi la Polisi liboreshwe na liachane na kasumba za mkoloni tunataka kuepukana na ubabaishaji kama huu wa kuamrisha kufanya kitu hata kama hakina msingi wa kisheria. Kuna wapuuzi wanadhani hili jeshi ni poa tu maana linashughulikia zaidi wapinzani(Lissu na Lema), lakini upuuzi huu unajengeka ndani ya jeshi na matokeo yake watakaoumia zaidi ni wanyonge ambao hata elfu tano ya kumhonga askari amuachie hana.
Haya mambo hayana mwenyewe. Hata rais anaweza kuwa victim wa jeshi kama hili-maana kuna kustaafu. Kuna ndugu na jamaa ambao wanaweza wakaangukia ktk mikono ya jeshi hili babaishaji. Hata askari wenyewe hawako salama ndani ya jeshi hili. Fikiria mtu anakutuma wewe askari ukaue wakati yeye amekaa na mke wake nyumbani. Kumbuka unaua mtu-sio kuku na hivyo damu ya mtu huyo inakuandama maisha yako yote. Mshahara mnaopata enyi askari hautoshi kuua raia wema wanaotumia haki yao ya kikatiba kuwa na mawazo tofauti na watawala.
Hivi hujui athari ya mdomo?Na wakamshikia bastola katika nchi yenye democrasia kama Tanzania
kuna namba inaitwa KolamiJ Bashite ipigie itakupa ufafanuzDah!
Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.
Kwangu haki ni haki tu.
Ni nini hasa kilipelekea yote hayo?
Kuna anayejua humu anieleweshe zaidi?
Dah imeumiza japo simpendi Ila wamemkosea heshima wangempigia simu tuu
Viva magufuliiiiiiiii
Viva makondaaaaaaaaaaa
Viva Tanzania a a a a a a a
Hapa kazi Tu
Wauza unga hawana nafasi Tanzania
Kwani alitaka kupindua nchi au kuvunja amani nchini!?
Imefika muda watu tuache kufatilia issue za Mh. Makonda, tumuache afanye kazi yake vizuri na Mh Rais wetu pia alitumikie taifa.
Nape huyo atapangiwa kazi ingine ikipatikana kujua itakayomfaa na pia mambo yakipoa, kuna gemu na leo ndio mipango yao imeishia hapo.
Ilibidi nyie wananchi mbaki mnayaongelea, ha ha haaaaaaaa
Movie ya Nape baada ya kunaswa mchezo wake Junatatu, imebidi tu aimalizie kwa kuwaomba iishe hivi. Ndio maana hajatamkwa kwenye Barua kuwa yeye vipeeeee.
Hivyo Nape kapata kuondoka na bonge la plan aliyomuomba Rais au RC wa Dar apate leo, nanyi wananchi mmefurahia na kumuombea huruma na ndilo hiyo movie mmepewa.
Future ya madaraka, jina libaki kwenye midomo yenu. Na hivi wengi hamjifikirishi basi tena, wachache tu ndio watakuwa wamedaka gemu.
Nimempenda Rais kwa kumuacha asogee pembeni kwa style yake, bila kumuongelea kwa maneno mengi or kumtumbua live.
Mungu ibariki Tanzania.
Makonda oyeeeee
Halafu ni macho yangu au, huyo si harmorapa mwenye suruali nyeupe.
[emoji23][emoji23]Ulaku wa kupata KIKI umemwishia[emoji379]Mimi kanichekesha huyo harmorapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]