Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
Kiukweli hata Mimi nilikuwa simpendagi kihivyooo. Ila imeniuma....ushauri..Dah imeumiza japo simpendi Ila wamemkosea heshima wangempigia simu tuu
Usijione upo karibu na mtu mkubwa ukalewa madaraka siku ya siku inakuwa hivyo.
Anyway...
Pole nape