Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio fitna tupu!Sijui, nnachojua ni kwamba mdomo utumike kusema kweli na kusimamia kweli na sio fitna na uzandiki
Ndo tunakoenda,na ishukuliwe AK47 hazipo kitaaHizi silaha wanapewa watu bila kupimwa akili.
Ndio uzur wa hii movie...hakuna rewind wala forward...wala pause...[emoji12]Anapoipeleka hii nchi baba jesca kuna sehemu itafika atatamani Ku undue au kurewind but hiyo option haitakuwepo tena
Nime muona aseeMaulid Kitenge hajawa mwoga
aloo zaidi ya dr ulimboka..Kama nape anafanyiwa hivyo jiulze wewe kapuku wa kawaida watakufanya nini ukiingia kwenye anga zao
Shujaa wa leo ni kitenge sasa ajiandae kusingiziwa madawa ya kulevya na mapacha wawili.Nime muona asee
Jamaa kapiga kaz sana kumtuliza kijana mweye bunduki.
Alijitahidi kuondoa uoga
Nyani leo unasemaje?! Siyo mpenzi wa CCM?! Comments zako nyingi umekuwa ukisapoti ufedhuli huu, na bado mlifikiri wataumia ukawa tu lakini chatu amegeukia kuku wa ndani ya nyumba.Dah!
Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.
Kwangu haki ni haki tu.
Ni nini hasa kilipelekea yote hayo?
Kuna anayejua humu anieleweshe zaidi?