Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

uyo Harmorapa katimu mbiooo baada ya kuona pisto nazan kiherehere chote kwishney
 
MHH TUSUBIRI MENGI KUNA MTABIRI WA SANGOMA AMESEMA ETI BADO WAWILI.MMOJA TAYARI NDEGE KESHANASWA
 
Ni aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.

Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.
ae9d14574e3bbed226f3c2cf1d2f8bf7.jpg
217b388a8e7c271a658257fd2558bced.jpg
 
Dah!

Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.

Kwangu haki ni haki tu.

Ni nini hasa kilipelekea yote hayo?

Kuna anayejua humu anieleweshe zaidi?
Nyani leo unasemaje?! Siyo mpenzi wa CCM?! Comments zako nyingi umekuwa ukisapoti ufedhuli huu, na bado mlifikiri wataumia ukawa tu lakini chatu amegeukia kuku wa ndani ya nyumba.
 
Hahaa,I believe in power of KARMA.Nape yule yule aliye ipigania saana CCM au mwngne? Ambaye aliwatukana saana wapinzani..duuh
 
nape nayeye kasoma namba. si alikuwa anaimba kwa makeke akidhani cdm ndo wanaimbiwa. nape hizo za kirumi au za kisukuma? ni kisu hicho kinakata kote. karibu tuendelee kuzisoma
 
Back
Top Bottom