Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]Askari ni binadamu ambao unaweza ukawatuma utakavyo na wakafanya bila kuhoji hata ukiwaambia nendeni mkaue basi watatenda na yakiharibika unawakataa wanabaki wenyewe bado wataogopa kusema walitumwa heeeeee heeee narudia tena Alhamdullilah namshukuru Mungu sikutumbukia kwenye kazi hii na kwenye kizazi chetu hakuna aliekumbwa na balaa hili sijui wanalishwa nini maana baba zima ila linaweza kutumwa na Bashite na likaenda bila kuhoji [emoji23][emoji23][emoji23]
Uyo askari hapo ukimuuliza kwa nini alikua anatumia nguvu zote hizo hata mwenyewe atashangaa na anaweza kukataa kua sio yeye heee heeee
Kitendo cha yeye kuvamia ule msitu wenye silaha, sio wa nchi hii! Nape mwenyewe presha ilimpanda.Ukijua ni kwanini ameweza kumtoa utashangaa na kushindwa kuelewa zaidi.
Haya yote kisa kijana mdogo wa miaka ishirini na ngapi sijui ....kijana mdogo anaweka nchi kwenye tension
Kama mambo ya msing yangefanyika tokea mwanzo kwani ingefika mpaka huku?? Mpaka tunatoleana bastola hadharani..?? Nonsense
Haya yote kisa kijana mdogo wa miaka ishirini na ngapi sijui ....kijana mdogo anaweka nchi kwenye tension
Kama mambo ya msing yangefanyika tokea mwanzo kwani ingefika mpaka huku?? Mpaka tunatoleana bastola hadharani..?? Nonsense
Hata kama angekuwa Gwajima na walinzi wake, pale wangekaa.Hivi Nape hana walinzi au?
Inakuaje mpaka mtu anamsukuma sukuma hivyo?
Hamorapa ndukiii mbayaBastola yenyewe kamtishia haporapa tu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] harmorapa katoka ndukiBastola yenyewe kamtishia haporapa tu
Pale ni E-FMUyu kitenge na yeye kafuata nini?
ivi hizi akili ni zenu au za kuazima kwa jirani! sio bure una ute kichwaniUyu kitenge na yeye kafuata nini?