savius
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 432
- 255
Mkuu yeye ni mwanahabari ana haki ya kuwepo pale,mi nilidhani ungeuliza harmorapa kafuata nini pale.Uyu kitenge na yeye kafuata nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yeye ni mwanahabari ana haki ya kuwepo pale,mi nilidhani ungeuliza harmorapa kafuata nini pale.Uyu kitenge na yeye kafuata nini?
E-FM au Protea ?Pale ni E-FM
Arudishwe wapi? hili ni kosa la kutia kuua tena mchana kweupe, nilitegemea achukuliwe hatua za kisheria mara moja.Ni aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.![]()
![]()
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.
Huyo bwana akamatwe afikishwe mahakamaniWazungu wasema "Wat an asshole" Kaka Sirro eh, mnatuaibisha na wapumbavu hao, ndugu zetu jirani wanatucheka!!!!
Lakini sheria zinasemaje ukitishia bastola hadharani? ni hatari tupuKwa mazingira hayo huyo hawajibiki kwa Kamanda Sirro kabisa na wala hapokei command ya kamanda Sirro.
Kiboko yake Maulid Kittenge ***** mwenyewe kasanda
Inamaana Kitenge ni mtu wa system mana kund lote lililomzunguka Nape ni wanausalama.namuona Maulid Kitenge hapo
Maulidi kitenge aliwezaje kusolve ile ishu? Nimeshindwa kumwelewa kabisa.
Maulidi kitenge aliwezaje kusolve ile ishu? Nimeshindwa kumwelewa kabisa.
Mathafaka sana hawanape angaamua hapo angemsukuma tu adondokee huko alafu tuone anafanya nini? anatoa bastola mchana kweupe mbele za watu hapa nchin tz? amefundishwa kweli huyo? hahaha. hivi wanafikiri hii nchi ni kampuni yao wanaweza kuifanya lolote?
Atakakua bosi wao apoUkijua ni kwanini ameweza kumtoa utashangaa na kushindwa kuelewa zaidi.