Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Wataima namba ccm mbele kwa Mable. Kawimbo kazuri
 
Kulikuwa na haja gan ya kutoa bastola apo..yaan ili aonekane anayo au anajua kuitimia..mbona hakumpiga sasa
 
Bastola iliyo tolewa kwa Nape ni ishara na kielelezo cha vitisho na manyanyaso tunayoyapata watanzania huku countryside. Kama Nape anafanyiwa hayo ktk jiji la Dar kabwela kama mimi hali ikoje?
 
Askari ni binadamu ambao unaweza ukawatuma utakavyo na wakafanya bila kuhoji hata ukiwaambia nendeni mkaue basi watatenda na yakiharibika unawakataa wanabaki wenyewe bado wataogopa kusema walitumwa heeeeee heeee narudia tena Alhamdullilah namshukuru Mungu sikutumbukia kwenye kazi hii na kwenye kizazi chetu hakuna aliekumbwa na balaa hili sijui wanalishwa nini maana baba zima ila linaweza kutumwa na Bashite na likaenda bila kuhoji [emoji23][emoji23][emoji23]
Uyo askari hapo ukimuuliza kwa nini alikua anatumia nguvu zote hizo hata mwenyewe atashangaa na anaweza kukataa kua sio yeye heee heeee
Most of them are what Plato termed as Iron boys. The don't have "reasoning" in their vocabularies.
 
Hata kama walipewa amri na mkubwa wao.. wangetumia akili na busara....
Hapa nikiri askari hawa walikurupuka vibaya sanaaaa.... haswa huyo mrefu...
Asante maulid wa kitenge kwa kumdhibiti huyo bwana mdogo
 
ivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vita tumika mpaka lini??
 
Mzee wa goli la mkono limemrudi!!!.....Malipo ni hapahapa!!!
What goes around comes around

To every action there are equal and opposite reaction

Apandacho MTU huvuna

Mpanda ngazi hushuka

Mchimba shimo huingia mwenyewe kwanza

Misemo ni mingi saana kwakweli mnisaidie kuongezeaa.......
 
Dah!

Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.

Kwangu haki ni haki tu.

Ni nini hasa kilipelekea yote hayo?

Kuna anayejua humu anieleweshe zaidi?
Kwa bahati mbaya kinatokea ndani ya chama chao Sasa....mimi mtazamaji tuuuuu
 
Kwanza niseme tu wazi mimi sio mtaalam wa mambo hayo, hivyo yeyote anayeona zaidi ya mimi, please come up!

NAPE AKISUKUMWA NA KUTOLEWA BASTOLA NA 'jamaa '

Yule kijana wa shati jeupe aliyemfungulia Nape mlango wa gari hayuko sawa.
Amefungua mlango kama mlinzi, halafu within seconds akawa mtalii.
Akaja yule tall mwenye kofia, kaombwa kitambulisho akapiga hatua tatu nyuma na kuchomoa bastola.

HUYU TALL
Hatua za nyuma kazipiga kifala, I can do better.
Inaonekana mkono wake wa nguvu ni wa kulia ila bastola na pingu, vyote kaviweka upande wa kushoto.
Ametoa bastola kijinga kweli, na bila sababu, maana hata baada ya kuitoa hakuitumia.

Baadae akaanza kumsukuma Nape aingie kwenye gari, hakuwa na intent maana alikuwa upande dhaifu wa Nape na bado hakufanikiwa.

Akaja mtu aliyeonekana kama Maulid Kitenge, alimzidi nguvu na hoja yule tall ndani ya sekunde chache mno.
Yule tall anaonekana kama one of the dark vampire, KUMBUKA ULIMBOKA, maana baada ya kuona watu na magari yanazidi akavanish into the masses.

Back kwa 'mlinzi' wa Nape ,the guy sio mlinzi kabisa
Kwenye kiuno alionekana kama ' kabeba ' ,kuna wakati nilimsikia Nape akimruhusu afanye fujo lakini jamaa anacheka tu!

Otherwise kwenye clip ya pili Nape aliperform vizuri. Jazba haikumchukua kiivyo!

Wewe umeonaje.
 
Mzee wa goli la mkono limemrudi!!!.....Malipo ni hapahapa!!!
Democracy is something progressive.....we choose what we like at our own peril....watu wanajisahau sana wakiwa kwenye madaraka. Haya yanayoendelea yanatufundisha umuhimu wa kutenda kila kitu kwa weledi n.a. maslahi mapana ya Taifa. Tunavuna tuliyopanda.....simuonei huruma Nape.....nacheka tu
 
Hawa askari waliotumwa nao watakuwa mabashite...et unatoa kibastola mbele ya kadamnasi kupambana na raia asiye na silaha yeyote. Hii nchi imefika pabaya aisee
 
Hapa alikuwa anaingia viwanja vya Protea Hotel kwa ajili ya kuingia ukumbini kuanza mkutano, ndipo hawa vijana walipomfuata na kumtaka asishuke kwenye gari badala yake aondoke...ila mwishoni alweza kuendelea na mkutano japo kwa mbinde!
Jamaa nae kaenda kindezi kweli alipaswa atumie hata taxi kama so bajaji kuwazuga hao wenye bastola!!!!

Boss is never be wrong always sasa ukishang'amua unajihami hii inchi si ile tena jamaa anataka let's maendeleo so maendeleo hahahitaji usihasa haha rejea China na ujerumani enzi za Adolf.

Anyways MTU niliemtaraji ktk baraza kukaa pembeni ni Makamba Ila jamaa aliusoma mchezo mapeeema akaunyuti kama hayupo vile!!!!

Pambana Nape, nimekumbuka ile ziara yako na kinana ya kuimarisha chama haha Leo fala mmoja anakutolea mguu wa Kuku kaa mkao watakushoot for sure hao jamaa huwezi jua wamekuja na agizo gani dhidi yako toka kwa boss wao/
 
Back
Top Bottom