Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Chakushangaza nini mbona bashite alibeba mitutu na kutishia kina soud kule clouds lazima wamuige bosi wao.
Kilicho baki wananchi tuungane kujihami na udikteta huu leo kwa nape kesho kwako nchi imekua kampuni ya watu wawili
 
Laana ya kumtukana LOWASSA ndio inayomsumbua NAPE akoambe radhi, malipo ni hapahapa ahsante yesu kwa kutengua nafsi ya NNAPE
 
Kamanda Sirro Mwenyewe ni Mmoja wa Hili Genge la Wahuni

Jeshi La Polisi la Sasa ni Kama Kiboko Msheli au Panya Road Tu
 
Nape kutolewa bastola Ni kitu kibaya sana sanaaaa nawaambia
 
MNAHISI MAAMUZIYAKE YULE YUKONYJMA MTU AMEMFIKISHA MAAMUZIYALE
 
Dah!

Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.

Kwangu haki ni haki tu.

But of course!

Ungesema wewe ni shabiki wa CCM lakini hupendezewi na haya yaliyofanywa leo na serikali ya CCM you would make all the sense!

Wewe sio shabiki wa CCM, of course hatutegemei upende kilichofanywa na watawala leo!

 
aise mimi nimeshindwa kushangaa kabisa au na yy ni walewale nn ila amefanya kazi nzuri sana leo?
Sina hakika na maana ya kusema ni wale wale, ila yeye sio

Naona katumia skills za kujiamini zaidi. Na kwakuwa alikuwa sawa, poti akasalimu amri!
 
But of course!

Ungesema wewe ni shabiki wa CCM lakini hupendezewi na haya yaliyofanywa leo na serikali ya CCM you would make all the sense!

Wewe sio shabiki wa CCM, of course hatutegemei upende kilichofanywa na watawala leo!

Nope.

Sio lazima.

Unaweza kabisa ukawa si shabiki wa CCM na ukapendezwa na kilichotokea.
 
Huyu askari... arudishwe depo...
Amesahau silaha inatakiwa itumike wapi na kwa wakati gani...
Si vizur kutoa silaha mbele ya mtu ambae hana .. madhara hana silaha... sababu unataka tu kumlazimisha kutumia jambo fulan..
Yaan amekosea sana....
 
Arudishwe chuo gani fafanua ? na Huko chuo akasome kwa hela za Nani au kodi zetu wananchi ....???
 
Nguvu yote hii ya mabastola ilikua na lengo gani? Nani kawatuma hawa askari? Kama anajiamini na utawala wako kwa nn utumie dola kwenda kupambana na mtu asiye hata na nyembe. Shame on u JPM baadae unajidai mniombee msema kweli mpenzi wa Mungu. Acheni kabisa kumchezea Mungu ntatysababishia laana Taifa letu
 
Back
Top Bottom