Kwani alitaka kupindua nchi au kuvunja amani nchini!?
Imefika muda watu tuache kufatilia issue za Mh. Makonda, tumuache afanye kazi yake vizuri na Mh Rais wetu pia alitumikie taifa.
Nape huyo atapangiwa kazi ingine ikipatikana kujua itakayomfaa na pia mambo yakipoa, kuna gemu na leo ndio mipango yao imeishia hapo.
Ilibidi nyie wananchi mbaki mnayaongelea, ha ha haaaaaaaa
Movie ya Nape baada ya kunaswa mchezo wake Junatatu, imebidi tu aimalizie kwa kuwaomba iishe hivi. Ndio maana hajatamkwa kwenye Barua kuwa yeye vipeeeee.
Hivyo Nape kapata kuondoka na bonge la plan aliyomuomba Rais au RC wa Dar apate leo, nanyi wananchi mmefurahia na kumuombea huruma na ndilo hiyo movie mmepewa.
Future ya madaraka, jina libaki kwenye midomo yenu. Na hivi wengi hamjifikirishi basi tena, wachache tu ndio watakuwa wamedaka gemu.
Nimempenda Rais kwa kumuacha asogee pembeni kwa style yake, bila kumuongelea kwa maneno mengi or kumtumbua live.
Mungu ibariki Tanzania.
Makonda oyeeeee