KayScarpetta
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,251
- 775
...kwasababu zimeiingia mikononi mwa mabashiteMbona matumizi ya silaha za moto yanataka kushika hatamu awamu hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...kwasababu zimeiingia mikononi mwa mabashiteMbona matumizi ya silaha za moto yanataka kushika hatamu awamu hii?
Jamaa kafanya kazi kubwa sana, Nape alikuwa anasukumizwa ndani ya gari kama tenga la nyanya vile. Kitenge kaokoa jahazi.Shujaa wa leo ni kitenge sasa ajiandae kusingiziwa madawa ya kulevya na mapacha wawili.
Shujaa wa CCM aliyekataliwa na kudhalilishwa na wa chama chake! Iwe fundisho!Jamaa nae kaenda kindezi kweli alipaswa atumie hata taxi kama so bajaji kuwazuga hao wenye bastola!!!!
Boss is never be wrong always sasa ukishang'amua unajihami hii inchi si ile tena jamaa anataka let's maendeleo so maendeleo hahahitaji usihasa haha rejea China na ujerumani enzi za Adolf.
Anyways MTU niliemtaraji ktk baraza kukaa pembeni ni Makamba Ila jamaa aliusoma mchezo mapeeema akaunyuti kama hayupo vile!!!!
Pambana Nape, nimekumbuka ile ziara yako na kinana ya kuimarisha chama haha Leo fala mmoja anakutolea mguu wa Kuku kaa mkao watakushoot for sure hao jamaa huwezi jua wamekuja na agizo gani dhidi yako toka kwa boss wao/
Hivi yule Afande aliye panda cheo kwa ku harass mke ya Mr X pale ubungo bado yupo?Hahahaha hujui anaweza pandishwa cheo subirini muone
Na wakamshikia bastola katika nchi yenye democrasia kama Tanzania
Sometimes hawa ndugu zangu wanausalama wanakuwa kama wameshikiliwa akiliNi aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.![]()
![]()
Wanaweza kataa wanaouga...waaogopa kupoteza kazi....ajira labda sumajkt kk securityHao maaskari hawana shida wao wanatekeleza walicho ambiwa na wakubwa wao hawawezi kataa
Anatamani wazeeekeWewe hili tu la leo limekushangaza hivi, umewahi kujiuliza mama jesca ameshangaa mangapi toka amjue juma?? Tuliza kisheti jombaa
Nasubiri kwa hamu!
!
Mnara wa Babeli ni lazima uanguke
Siku hizi haombi tumuombee!Nguvu yote hii ya mabastola ilikua na lengo gani? Nani kawatuma hawa askari? Kama anajiamini na utawala wako kwa nn utumie dola kwenda kupambana na mtu asiye hata na nyembe. Shame on u JPM baadae unajidai mniombee msema kweli mpenzi wa Mungu. Acheni kabisa kumchezea Mungu ntatysababishia laana Taifa letu
Bila kusahau mikutano imezuiwaAlikua anazuiwa asiende kufanya press conference
Ile ni tisha toto tu, alifikiri Nape angetoka nduki kama Hamorapa.Kulikuwa na haja gan ya kutoa bastola apo..yaan ili aonekane anayo au anajua kuitimia..mbona hakumpiga sasa