Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani watanzania huwa mnakubali na nyie kumsifia mtu aliyetenda jambo jemaaHakuna ujasiri hapo ni Mungu kaepusha basi.
Ni aibu kwa taaluma nzima ya usalama,kwa mwanausalama kumvamia kiongozi bila ya kujitambulisha na kuonyesha kitambulisho na kuanza kumtisha kwa bastola ili atii amri yako.
Nakushauri kamanda Sirro umrudishe uyu kijana akasome vizuri sheria za usalama kuliko kulitia aibu jeshi la polisi.![]()
![]()
ndio maana harmorapa ameamua kwenda sambamba na kasi ya hili tukio.Nashauri kama kuna msanii wa bongo fleva anataka aachie ngoma yake kali kwelikweli, basi asubiri kwanza hii movie iishe ndio atoe.
Endeleeni na talalila zenu sie tukipiga hatua.UTAFITI MCHANA KWEUPE...
nimeitazama [HASHTAG]#clip[/HASHTAG] ya Mh. Nape Nnauye (MB wa Mtama) alipotishiwa [HASHTAG]#bastola[/HASHTAG]. Nimejifunza haya:
1. Nape amekomaa na ni kijana jasiri.
2. Nape ni mwanasiasa anayeijua siasa.
3. Nape amesimamia anachokiamini.
Hata hivyo, kwa upande mwingine nimepata nafasi ya kumuona mtu (aliyevaa jeans na kapelo) akimtolea bastola Nape. Mtu mwenye bastola anaonekana ni [HASHTAG]#mwoga[/HASHTAG] kwa kuwa Nape hakuwa [HASHTAG]#adui[/HASHTAG] wala hakuwa na silaha.
Nimejifunza kwamba, nchi hii kama Nape (ambaye aliwahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM) ametolewa bastola mbele ya watu mchana kweupe; kuna uwezekano mkubwa kwa watu wa kawaida kuuawa na kutupwa kama mbwa.
Nchi inaelekea kwenye [HASHTAG]#anarchy[/HASHTAG] na wanaoipeleka huko watakuja kuvuna [HASHTAG]#upumbavu[/HASHTAG] wao. Mwisho wa utafiti huu wa mchana kweupe. Nampongeza Nape kwa kutoogopa bastola na kutomuogopa aliyewatuma waliyekuja na silaha kuzuia #press_conference yake Protea Hotel.
Sawa dingikwani watanzania huwa mnakubali na nyie kumsifia mtu aliyetenda jambo jemaa
kaziona video ngapi hazi za wenye SMG sjui ak 47 zile pale clouds na hajatumbua mtuYule polisi kanzu ni mshamba wa bastola, ngoja Magufuli aione hiyo video kama hajamtumbua
Jioni hii nilisikia East Africa Radio wakisema ameonekana Morogoro. Inaonekana huyu jamaa ni mkali wa Marathon.Masikini Harmo rappa akawa kama Petro wa Biblia , bastola ilipotolewa na askari yule mjinga alikimbia, nasikia amekutwa Chalinze bado anachanja mbuga.
Ina maana kubwa sana.....nadhani iktokea raia wanauawa kwa silaha hakuna msaada labda aseme mkuu...otherwise nchi haina direction....no visionKwako unaona joto ya jiwe
Lakin hujui ina mana gani hilo tukio kwa nchi...
Nafikiri umepata jibu la swali ulilouliza kutoka kwa wadau hapo juu.Dah!
Mimi si mpenzi wa CCM na si shabiki wa Nape ila hicho nilichokiona kwenye hiyo video sijakifurahia.
Kwangu haki ni haki tu.
Ni nini hasa kilipelekea yote hayo?
Kuna anayejua humu anieleweshe zaidi?
Yani kaonekana fala tu bora hata angepiga juu basi tujue alikua anatawanya watu,nape angaamua hapo angemsukuma tu adondokee huko alafu tuone anafanya nini? anatoa bastola mchana kweupe mbele za watu hapa nchin tz? amefundishwa kweli huyo? hahaha. hivi wanafikiri hii nchi ni kampuni yao wanaweza kuifanya lolote?