Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

Bora kaonjeshwa utamu wa kupigwa goli la mkono........ADHABU NI HAPA HAPA DUNIANI...
Yaani kiongozi unapledge kwa taifa kuwadhurumu ushindi na kweli unafanya hivo alafu unataka ubaki salama
 
Mara nyingi sana tumezomea kuona Jeshi la Polisi wakitumia nguvu kubwa sana kupambana na upinzani kuliko kutumia akili au njia sahihi katika kutimiza wajibu wao huo.
Kitendo ambacho kimefanywa leo na Afisa wa Jeshi la Polisi kuonyesha bastola hadharani kinatakiwa kulaani na kupingwa kwa nguvu zote.
Aliyekuwa Waziri wa Habari na Utamaduni na michezo Nape Mnauye akifika maeneo ya hotel kwa ajili kufanya mkutano na waandishi wa habari jambo la kushangaza baada ya hapo Afisa wa Jeshi la Polisi alimfuata na kuzuia wakati Nape Nnauye anamwambia Afisa wa Jeshi la Polisi atoe kitambulisho chake yeye Afisa badala ya kutoa kitambulisho ndo akatoa bastola.
Ni tukio la kulaani sana kwenye nchi kwani ni muda wiki sasa baada ya tumeshuhudia tukio la kituo cha Clouds kuvamiwa na Rc akiwa na ulinzi na askari wenye silaha .
 

Attachments

safi sana...huyu nape ndo alikuwa na kiherehere cha kumpigia kampeni wacha anyooshwe
 
Acha anyoshwe umesahau alivyomdhalilisha Lowassa akamuombe msamaha.
 
Mara nyingi sana tumezomea kuona Jeshi la Polisi wakitumia nguvu kubwa sana kupambana na upinzani kuliko kutumia akili au njia sahihi katika kutimiza wajibu wao huo.
Kitendo ambacho kimefanywa leo na Afisa wa Jeshi la Polisi kuonyesha bastola hadharani kinatakiwa kulaani na kupingwa kwa nguvu zote.
Aliyekuwa Waziri wa Habari na Utamaduni na michezo Nape Mnauye akifika maeneo ya hotel kwa ajili kufanya mkutano na waandishi wa habari jambo la kushangaza baada ya hapo Afisa wa Jeshi la Polisi alimfuata na kuzuia wakati Nape Nnauye anamwambia Afisa wa Jeshi la Polisi atoe kitambulisho chake yeye Afisa badala ya kutoa kitambulisho ndo akatoa bastola.
Ni tukio la kulaani sana kwenye nchi kwani ni muda wiki sasa baada ya tumeshuhudia tukio la kituo cha Clouds kuvamiwa na Rc akiwa na ulinzi na askari wenye silaha .

Nimependa sana ulivyoiweka wazi hii kitu Mkuu kwani wengi wetu tulidhani kuwa wale Jamaa walikuwa wanatoka katika Taasisi nyeti iliyo jirani na hapo tukio la leo lilipofanyika wakati ukweli ni kuwa zile Njemba ni za PT na zinashinda mno pale Central na kazi yao ni kukongejea tu amri kutoka kwa ama Kamanda Sirro au Kamanda Mangu mwenyewe.
 
Niliwahi kufundshwa nikiwa shuleni kitu kinachoitwa FIXATION. Nadhani kuna mtawala fulani wa Afrika aliruka michezo ya utotoni sasa anaanza kuirudia kipindi umri umeshamtupa.

Watanzania poleni. Siku nyingine mkipata nafasi ya kuchagua kiongozi muwe Sober.
 
Naona Maulid wa kitenge kocha mchezaji naye kafanya yake
 
Mkuu si Bastola tu kwa Nape ni kwa Umaharufu tu wanape limeonekana hilo.......

Kifupi jeshi la polisi liangaliwe upya......

Inafikia mahala ni bora ukutane na kibaka mtambana si ukutane na polisi wenu ni shida.......

Funzo pia kwa viongoz waliopo madarakan watumie vizuri mamlaka yao katika majeshi yetu kwan lolote linaweza kubadilika mda wowote kama ilivo kwa Nape.....!
 
Bahati mbaya huyo afisa kuna uwezekano ametumwa na mkulu,ukisema tu utasikia mimi sipelekeshwi na mtu,utadhani anaongoza manyani
 
Nani pale Clouds alinyooshewa mtutu wa bunduki kama ilivyotokea kwa Nape?

Nani pale Clouds alikuwa roughed up kama ilivokuwa kwa Nape leo?

Mwenzetu uli-watch movie nzima ya clouds? Vijana wa kiume ndani ya studio walikuwa wanalilia nini? Na mmoja wao kupata pressure kama mzee wa miaka 90.
 
bastola na bunduki vinaelekea kuwa kawaida maana cloudz mabunduki kwa nape bastola, wanataka kutufanya nini hawa
 
Back
Top Bottom