Sasa badala ujadili yanayohusu wizara yako kila siku unaongea mambo ambayo hayakuhusu bichwa kubwa akili kisodaWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”
Cha kufanya kama kitaa kwako kuna shoga tia moto tu koz tukiyaachaa yatakuja kutuharibia hata matoto yetu kiume
Ushoga sio poa lakini HAKI za Mashoga kuishi kama Binadamu wenzetu ni sahihi.
Huwezi ukamfunga Shoga au kumuua Shoga kwa yeye kuwa Shoga.
Ushoga tz sio tatizo Mie nabaki nimebutwa wapinga ushoga wamekuwa wengi mara milioni ya idadi ya mashoga. Mie sipo dar, mara kadhaa nipo kahama, mbogwe, bushirombo na geita mjini lkn sijawahi kukutana na shoga na hata watu wangu wa karibu sehemu hizo nimejaribu kuwaomba wanioneshe shoga hata mmoja wanayemfahamu, cha ajabu wote hawamjui hata mmoja, sasa kama wilaya zote hizo nne hazina hata shoga mmoja kwanini ushoga uonekane kama ni tishio kama ebola vile?
Kudeal na wezi wa fedha za umma labda.Ni ku deal nao mapema tu.
Mbona mabasha hamuwasemi, au Basha ni shoga pia
Kudeal na wezi wa fedha za umma labda.
Wewe mwenzako akifirwa wewe unawashwa na nini?
Kufirana isifanywe jinai wezi na wapigaji wa fedha za kodi ndio wanatakiwa wawe magerezani sio Mashoga.
Shoga isiwe jinai serikali iwatibu kwa kuwapa dawa ya kupunguza hamu ya kufirwa.sijategemea kabisa kama mkuu utakua ni team Upinde dah Inasikitisha sana.
Ushoga sio poa ila Mashoga wana HAKI zao za kuishi sio kufungwa na kuuwawa.Tatizo ni kuilazimisha jamii ikubali michezo yao
Sio msimamo wa Chadema.Dah wana chadema wanaelekea rasmi kuwa team Upinde.
Waziri wa Utamaduni hili analisemaje?Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”
Lini umelazimishwa kufirwa?tatizo sio kugongana kwao, Tatizo ni kuilazimisha jamii ikubali michezo yao michafu. Naona kama hizi kampeni za Upinde bado hujazielewa mkuu.
Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi ni mmoja.Wapo wanadamu raia wa nchi ambao hawamuamini Mungu au mungu wao ni tofauti na mungu wako.