Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kija huyu mamfahamu sana kichwani ni mtambo tulikuwa naye pale Arusha Ilboru na pale hawaendi vilaza kama akina mwashambaTundu Antipas Lisu nadhani ni Myahudi huyu [emoji209]
Wacha wapigishwe kwata huko ccm kuna mambulula wengi sana nilikuwa namsikiliza komred kinana jana kwa kwa kweli nilisikitika sana kwa hoja zakeserikali au CCM tunajua serikali ya sasa iko answerable kwa CCM na ndio maana Makonda anaamrisha mawaziri na wanatema jasho vibaya mno
Chombo cha kipuuzi huku Lissu analazimisha magajiano,Ni kiki tu za kukipa promo chombo cha kipuuzi
Chombo ya ma-vilazaChombo cha kipuuzi huku Lissu analazimisha magajiano,
Wewe mpuuzi unajua tofauti ya barua na taarifa kwa umma?Unajidai unaijua propaganda unatuletea barua feki Haina hata Saini yamtu.
Huu upuuzi mnawashika wasiojielewa...stupid animal!!!
Wewe Pumbafu unajielewa unachoandika?Wewe mpuuzi unajua tofauti ya barua na taarifa kwa umma?
Ruzuku mwemyekitia kaenda kujenga hekalu kule machameHivi Chadema hawana redio yao ya kufanya upotoshaji hadi leo wanna matatizo makubwa sana
Lissu hadi katoa machoziChombo ya ma-vilaza