100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Kwa hio ni kwa masharti ya Tanzania tu ndipo wameshindwa kutimiza, Kenya wameweza, Nigeria wameweza, Rwanda wameweza, yaani Tanzania tu, acheni uhuni nyie.Kwani wewe umewasiliana na Starlink wakakwambia walinyimwa lesseni licha ya kutimiza masharti ya leseni waliyopewa na yaliyotokewa?
Lucas Mwashambwa ni kama toilet paper TU, haiwezi kuhoji, inatumika TU na kutupwa shimoniHIZI SIASA ZA UONGO UONGO NI ZA MUDA MFUPI TU Lucas,utakumbuka Haya menono.
Ulipaswa kuwa mtu wa kohoji vitu kama kijana badala ya kusifia sifia hovyo,
Kwa faida ya Nani?Nikuambie kwa hizi ngonjera hawatawajibika hawa watawala.Bibi zetu akiwemo wa kwako na ndugu zetu wataendelea kulala chini wakiwa hospitalini,Bima ya Afya ya kilaghai, Dhuruma zaidi ya wananchi kwenye matumizi mabaya ya serikali.
Sijawahi sikia hata siku moja ukihoji kuhusu kupuuziwa riport ya CAG iliyojaa wizi ufisadi,wewe kazi yako ni kusifia tu vitu visivyo na kichwa wala miguuu.
Mashart gani?kwanini asiyaweke wazi,Je walikataa kulipa kodi?
Je walitaka makampuni mengine Ya simu/Mtandao yafutwe au?
Kwakuwa ni swala la uma basi iwekwe wazi walipewa masharti gani.
Mbona Magufuli alikataa mradi wa bandari ya Bagamoyo na kusema wazi sababu,iwaje kuwe na usiri kwenye mawasiliano.
Mama alienda kuzindua Kiwanda cha Howo Juzi kati Hapo alisema jamaa wanataka Hili na lile,sisi tumewapa Hili na lile,shida iko wapi.
Nape aache,Acheni ujanja ujanja sisi sio wajinga.
Alienda media tour kufanya nini si angeeleza sababu moja kwa moja?
Hilo Taifa ifike mahali mnaposema maslahi ya nchi mbele muwe mba maanisha sio porojo tuu.
Lucas hizi siasa za uongo uongo ni za muda tuu narudia ni za muda tuuu.
Any way nalala maana naijepandisha sukari buree bila sababu.
Nimekusamehe bure kabisa bila gharama,maana wengine mnaingia humu jukwaani mkiwa na msongo mkubwa wa mawazo.hivyo mnahitaji kupewa faraja na kushauriwa.Bwana yako anayekufiraga
Bumunda lingine hili!Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Nape Nnauye waziri wa Habari ,Mawasiliano na teknolojia ya habari amesema ya kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali walikwama wenyewe kutimiza mashariti yaliyohitajika kukamilishwanl ili kupewa lesseni.
Kauli hii imekuja kutokana na manung'uniko na kelele nyingi sana za watanzania mbalimbali mitandaoni kuilaumu serikali hususani waziri mwenye dhamana wakati huu ambao mtandao wa internet umesumbua sana na kukwamisha shughuli nyingi sana katika maofisi mbalimbali ya watu binafsi pamoja na serikali yenyewe.
Ambapo watu mbalimbali na wadau mbalimbali wa habari na mawasiliano wameonekana kutoa maoni yao mitaani na mitandaoni kuwa pengine kama Starlink angekuwepo hapa nchini ,suala lililokuwa limejitokeza hapa nchini la kukatika kabisa kwa huduma ya internet pengine lisingeathiri shughuli za watu binafsi pamoja na serikali yenyewe kama ilivyotokea.
Naweka kalamu chini na kuishia hapa. Chanzo cha taarifa yangu Ni clouds. Ukitaka kwa undani sana ingia clouds ujionee video yake kama una Mb au bando la kutosha kiasi.kama huna mb za kutosha basi wewe chukua hii taarifa kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali wao ndio walikwama wenyewe kutimiza mashariti ya kupatiwa lesseni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukikomaa akili utaacha kuandika utoto wako humu jukwaani.Bumunda lingine hili!
Tumbo litaponza trakoUkikomaa akili utaacha kuandika utoto wako humu jukwaani.
KStarlink wapewe masharti spesho kama nani wao labda? Masharti ni Yale Yale ya siku zote
aisee,Kumbe naongea na Wavulana hapa.Bibi Yako ndio analala chini na hizo blaa blaa zingine.
Mwisho ehee Machadema wasio na sera Wakishika Dola ndio watakuwa wanawagawia pesa au? 🤣🤣🤣🤣
Ni punguani tuu ndio anadhani Wanasiasa wanamfanya awe maskini na kwamba wakija wale anaowataka atakuwa Tajiri.Tafuta pesa acha kutegemea favor za Kisiasa
Mambo mangapi serikali inasema kumbe ni wahuni wametuingiza chaka halafu nchi inakuja kupata hasara?!.Kwani umeambiwa wapi kazuiwa? Serikali inasema kuwa alikwama Mwenyewe
Acha kutumia lugha za kihuni na kidhalilishaji.Mambo mangapi serikali inasema kumbe ni wahuni wametuingiza chaka halafu nchi inakuja kupata hasara?!.
Mikataba ya hovyo ya Songas, Meremeta, Kagoda kwa uchache tu.
Wewe ndio wale utakuja kuambiwa vua boksa halafu utavua kweli kisa tu umeambiwa ufanye hivyo na Waziri!!.
Uwe na adabu.Sijui kwann huyo jamaa hakupasua huo mtumbo!
Akili yako bado changa sana.Tumbo litaponza trako
Kwani starlink na NAPE Nani angalia zimo zimo?Kwani wewe umewasiliana na Starlink wakakwambia walinyimwa lesseni licha ya kutimiza masharti ya leseni waliyopewa na yaliyotokewa?
Kufungua Nchi haimaanishi kuifanya nchi kuwa kama Jalala au jengo lisilo na mlango ambalo kila kitu kinaingia tu bila utaratibu wala hodi.Huku ndio kufungua nchi kwa Samia?
Kufungua Nchi haimaanishi kuifanya nchi kuwa kama Jalala au jengo lisilo na mlango ambalo kila kitu kinaingia tu bila utaratibu wala hodi.
Kwahiyo Starlink ni sawa na jalala? Maana mkuu hauna cha ziada unachojua kuhusiana na ukweli hasa wa hili jambo ila ajabu unaona Starlink ndio kashindwa masharti na si kwamba kawekewa mazingira magumu kwa maksudi.Kufungua Nchi haimaanishi kuifanya nchi kuwa kama Jalala au jengo lisilo na mlango ambalo kila kitu kinaingia tu bila utaratibu wala hodi.
Huenda pia wakawa wameshindwa kuendana na Terms za Kisheria za nchi kwa wao kufanya kazi nchiniKitu chochote, hata iwe ni tekinolojia nzuri kiasi gani, kuna wakati inaweza kukumbwa na tatizo.
Hapa tunaongelea alternatives. Ni sawa uwe na gari moja. Lazima kuna siku utakosa usafiri. Ukiwa nazo angalao 2, moja itakapoenda garage, utaitumia nyingine, na mipango yako haitakwama kwa 100%.