Nape Nnauye: Hatukuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe

Kwani wewe umewasiliana na Starlink wakakwambia walinyimwa lesseni licha ya kutimiza masharti ya leseni waliyopewa na yaliyotokewa?
Kwa hio ni kwa masharti ya Tanzania tu ndipo wameshindwa kutimiza, Kenya wameweza, Nigeria wameweza, Rwanda wameweza, yaani Tanzania tu, acheni uhuni nyie.

Kwa makusudi mlitaka starlink isifanye kazi hapa kwa kutoa masharti kama ya mganga, mzungu hana huo muda.
 
Lucas Mwashambwa ni kama toilet paper TU, haiwezi kuhoji, inatumika TU na kutupwa shimoni
 
Bumunda lingine hili!
 
Starlink wapewe masharti spesho kama nani wao labda? Masharti ni Yale Yale ya siku zote
K
aisee,Kumbe naongea na Wavulana hapa.
 
Kwani umeambiwa wapi kazuiwa? Serikali inasema kuwa alikwama Mwenyewe
Mambo mangapi serikali inasema kumbe ni wahuni wametuingiza chaka halafu nchi inakuja kupata hasara?!.
Mikataba ya hovyo ya Songas, Meremeta, Kagoda kwa uchache tu.
Wewe ndio wale utakuja kuambiwa vua boksa halafu utavua kweli kisa tu umeambiwa ufanye hivyo na Waziri!!.
 
Acha kutumia lugha za kihuni na kidhalilishaji.
 
Kufungua Nchi haimaanishi kuifanya nchi kuwa kama Jalala au jengo lisilo na mlango ambalo kila kitu kinaingia tu bila utaratibu wala hodi.
Kwahiyo Starlink ni sawa na jalala? Maana mkuu hauna cha ziada unachojua kuhusiana na ukweli hasa wa hili jambo ila ajabu unaona Starlink ndio kashindwa masharti na si kwamba kawekewa mazingira magumu kwa maksudi.
 
Masharti ni kwamba, walivaa shati la mikono mifupi. Nchi hii bila kuhonga masharti lazima yawe magumu.
 
Huenda pia wakawa wameshindwa kuendana na Terms za Kisheria za nchi kwa wao kufanya kazi nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…