Nape Nnauye: Hatukuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe

HAya mabumunda ya ccm ni shida sana

sasa kama waliwama si awakwamue walete huduma kusaidia wananchi
 
Hawa mabumunda walitaka share za kifisadi tu. .. link wakagoma kwa kuwa siyo policy yao na hawana njaa wakasepa

Ndo mode ya biashara kubwa nchini

Lazime utoe share kwa maccm kwanza,
Wawekezaji serious hawawezi kuja hapa labda wale wahuni tu
 
Mumeo Nape amefurushwa
 
KATIBA mpya ndio itakuwa mwokozi wetu na si vinginevyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…