Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Washamba tu ndio wanaweza kufanya kama Nape. Mimi siwezi kumwomba msamaha mtu kama magufuli.
 
Binafsi nilichokiona kwenye video Magu’s psyche kwa sasa ni ya dictator tena sio ya watu kama kina Putin, Xin Jing Ping au hata Museveni; maana hawa kidogo wana aibu kwenye camera.

Magu keshalewa pombe anayokunywa Kagame amekuwa arrogant anajua ni mwenye nguvu na aogopi kuzitumia kwa mtu atakae ingia anga zake au kuwatisha watakao jaribu.

That is scary going forward, inawezekana kuna watu kwa sasa wana bite their tongues kwa kuheshimu mihula miwili ya uraisi things which I agree.

Hila muhula wa pili akiachiwa aende kama awamu ya kwanza this man is a run away train.
 
*Nape Amerudi Kwenye* *Reli Sasa* .
Nijambo amabalo wana CCM wengi hawajalifurahia kuona *Nape Moses Nauye* Mbegu iliyo Kufa na kuoza sasa imeanza kuchipua.
Kifo chake kilisababishwa na kusema ukweli palipohitajika kusema ukweli wakati sio utamaduni wa chama cha *CCM* kusema ukweli kwa wanachama wa kawaida kazi yao ni kuisifu serikali na kukisifia chama tu.


Nape ameomba kwa kuikosoa serikali iliposhindwa kununua korosho. *Nape* kaomba msamaha kwa kushinikiza uchunguzi wa Makonda kuvamia kituo redio cha *Clouds* .


*Nape* kaomba msamaha kwa sauti iliyotengenezwa na *Makonda* kuwa naongea na Membe anamuita Mheshimiwa Rais Mshamba.


*Nape* anameomba msamaha kwakuwa alipotolewa bastola na MTU asiejulikana alisema hadharani kwamba aliipigania CCM ili ishinde mwaka 2015 .


Nape kaomba msamaha kwakuwa huonekana yupo karibu na Zito Kabwe na *Membe* hasa kwenye Picha.


Hivyo ndivo vilivyo muuwa Nape.
Mbegu inachupua sasa


Msamaha wa kinafiki wa *Nape* ni kuionyesha dunia kuwa ukisema ukweli *CCM* nikosa sasa ameomba msamaha kwa kuusimamia ukweli.Yeye na Rais wamemaliza kwakuwa Rais *Magufuli* sio MTU wa visasi na anafahamu kabisa *Nape* hajafanya kosa lolote na hajawahi kumkosea na kisiasa hawezi kupambana na hawa vijana ambao wao kesho yao inaweza kuwa nikubwa kuliko yake ya Leo ya kisiasa,ieleweke kuwa Rais amebakiza Miaka Sita yakuongoza kama atashinda 2020 *Nape* au *Makamba* , *Mwigulu* vijana hawa bado wao wana miaka 10 yakuja kuongoza nchi wakijaaliwa kupata Urais.


*Msamaha wa Nape* umemrudishia heshima yake ndani ya CCM ambayo wengi walitamani apotee wakiamini kupotea kwa Nape na Kina *Kinana* ndo kuipoteza CCM ya Zamani.


Wana *CCM* Siku zote huwa wanaombeana Mabaya wakiamini wenye vyeo hawastahili Siku wakitumbuliwa waio na vyeo na wao watapata nafasi na wenye vyeo wanawatumia wasio na *vyeo kama jukwaa la wao kuimbiwa nyimbo za sifa kusifiwa hata wanapo boronga.*


*Namuona *Nape* kesho* Akiwa kiongozi mkubwa mwenye ushawishi ndani ya chama na serikali maana anajua kusifia zaidi kuliko kukosoa sasa baada ya msamaha ni kusifia kwa kwenda mbele nani atamzuia tena. Mbegu itamea 2025 *Nape* hata kuwa Mbegu tena Atakua ni Mti kamili wenye Matunda.
*Hongera Nape umefanya* *maamuzi sahihi* kwa umri ulio nao haijalishi utaanguka Mara ngapi nilazima uamke maana nguvu na sababu unazo.
*Na
MwanafalsafaMweusi* .

Mmmmh let us just wait and see...kuna watu huwa hawabadiliki
 
Ila wapinzani hawakumtoa madarakani,Kagame&his allies ndio walimng’oa mobutu.
Point ni kuwa mwisho wake haukuwa mzuri, who gives a damn nani alimtoa madarakani?
Hapo ni kuonyesha kuwa inafika time mbabe ubabe wake unamtokea puani.
 
Sasa Nape anatakiwa kuwa makini. Kuna watu tulimshauri vizuri tu, lakini hakutusikiliza. Badala yake, akavimbishwa kichwa na wanafiki waliojaa mitandaoni. Sasa ameuona ukweli. Abaki focused kama anahitaji bright future.
 
Binafsi nilichokiona kwenye video Magu’s psyche kwa sasa ni ya dictator tena sio ya watu kama kina Putin, Xin Jing Ping au hata Museveni; maana hawa kidogo wana aibu kwenye camera.

Magu keshalewa pombe anayokunywa Kagame amekuwa arrogant anajua ni mwenye nguvu na aogopi kuzitumia kwa mtu atakae ingia anga zake au kuwatisha watakao jaribu.

That is scary going forward, inawezekana kuna watu kwa sasa wana bite their tongues kwa kuheshimu mihula miwili ya uraisi things which I agree.

Hila muhula wa pili akiachiwa aende kama awamu ya kwanza this man is a run away train.
Good analysis, the idiot psychopath is unstoppable.
 
Back
Top Bottom