Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Chakubanga kaongezwa cheo kingine chamani kawa kiroboto😃😀🤸
Chamani Kuna viroboto kumbe, basi tunyunyize dawa kuwaangamiza viroboto bila kusahau kudumisha usafi wa nyumba na malazi yetu🤔.
Nini viwekwe pamoja, viroboto au🤔?Hawa wawekwe pamoja kiumane
Hujamwelewa, amefanikiwa hasapolepole alishindwa kucheza karata vizuri..
Imemuuma maana Polepole amepata Milage Kiulani. Amesema Samia alikuwa Mshauri mkuu na Mpango waziri wa fedha! Kwanini hawatoi ufafanuzi!Yaqn.hili.ndio tatizo.la nape.
Hahahahahahahahahahahahah.......
Hana kolomero kabisa.
Nape Nape Nape.....huu ni utoto..
Yetu machoIla CCM hawajua kinachoendelea mtaani sio? Wafanye tafiti kuna chuki sana inajengeka...watakuja washangae akitokea mwanasiasa ana nguvu...watashangaa sana watu kama kina Nnape. Just someone to ignite