johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiroboto tena?
Muda siyo mrefu kigogo atajulikana.
Muda siyo mrefu kigogo atajulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nape hapo ubongo wake umevuka 99.9% ya utendaji wake.....hata kwenye siasa aliingia kwa kutumika kumpaka matope Lowassa!Nape Nape Nape.....huu ni utoto..
Its high time to get these clowns off the game!Some people think they own this country!
Sawa, sema , polepole na Nape wako na bifu personal,, itakuwa polepole alikuwa akiwachongea sana kina Nape kwa jpm,,, ujue polepole amekaa kaa kichawa sana.. [emoji23][emoji23]Nimesikitika, angenyamaza ingekuwa bora zaidi. Mheshimiwa nape anaonekana ni mtu wa bifu sana asiyependa kunyamaza. Matokeo ya anachokifanya hapa ni kuibuka kwa mivutano zaidi...
Hahahahahah ile kitu unafanyiwa halafu huna kitu unaweza fanya inabidi u bow down tu!Huyo kijana wa Mtama, ana uchungu Sanaa tangia alipoonyeshwa mguu wa kuku pale hotelini Kisha Harmorapu akatoka nduki kuwahi kupeleka taarifa Mtama
Huwa namuelewa iyo deep pain aliyo nayo
Hahahahahahah nani atakaekubali adhabu zi date back huyo😅! Hamna mjinga wa kukubali hilo katiba inaweza ikaja ila geresha tuMpuuzi sana huyu, aliyewaibia kura wapinzani, genge lake limerudi anajiona yuko juu, salama.
Ushauri Nape, jiajiri, piga zile dili za korosho. Maisha yako yasitegemee sana kodi zetu...
Mkuu hii ya kurudi nyuma miaka 30 ndicho nakitafurahia zaidi kuliko yote endapo katiba mpya itapatikana.
Tofauti ni kuwa, Nape alitolewa ukatibu mwenezi akawa kimya, Polepole kuna kitu kinamuwasha na hii ni kwasababu polepole ni mhamiaji ccm,, deep down, Polepole ni mpinzani wa CCM, cheo tu ndio kilimfanya vile alivyokuwa na alitumia hicho cheo kukihujumu CCM kimkakati, yeye na yule mtusi aliekuwa katibu mkuuHapa ndipo inapoonekana tofauti kati ya Nape na Polepole, wakati Nape anajiweka mbele kila wakati ili akumbukwe kwenye ufalme wa ulaji aliotolewa, Polepole anasema anachokiamini bila kujali kama anachosema mbele ya safari kitamgharimu nafasi aliyonayo serikalini, kwasasa Nape ndie kiongozi wa kundi la wachumia tumbo wa nchi hii.
Fortunately amejibiwa na mtu ambaye pia hana akili. Kusema kwamba Nape ana akili ni kumuonea tu. Tangu zamani Nape hajawahi kuwa na akili na hatokuja kuwa nazoKumjibu polepole ni kutumia vibaya akili yako na muda wako.....ni dhaifu mno kwa sasa!!
Hahahahahahah nani atakaekubali adhabu zi date back huyo😅! Hamna mjinga wa kukubali hilo katiba inaweza ikaja ila geresha tu
Akawa kimya hadi zile audio zake na Kinana na Makamba zikatoka "mawingu studio"Tofauti ni kuwa, Nape alitolewa ukatibu mwenezi akawa kimya,, polepole kuna kitu kinamuwasha,, na hii ni kwasababu polepole ni mhamiaji ccm,, deep down, polepole ni mpinzani wa ccm,, cheo tu ndio kilimfanya vile alivyokua, na alitumia hicho cheo kukihujumu ccm kimkakati, yeye na yule mtusi aliekuwa katibu mkuu
Yaani watu kama hawa wanajiona wanamiliki hii nchi.Hizi kauli za hii kenge zinatukumbusha kuna familia ndani ya hii nchi zinazofikili hii nchi ni mali yao binafsi!
Nape kuna siku utaumbuka na ofcorse hutoamini...
Eeeeeh?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Nape hamkumuekewa,, kumbuka Polepole alikuaga TLP kabla hajapewa ukatibu mwenezi ccm, Bashiru alikua CUF kabla hajapewa ukatibu mkuu, ccm
Yah hii demokrasia ya kurithishana mikoba kama waganga wa jadi haitufai😅Fuentte, tuna watu hawajui, labda wanajua wajibu wao lakini hawataki kutekeleza.
Katiba mpya itakuwa, lazima iwe na kipengele cha kuwaondoa madarakani watu wasio fanya kazi kuanzia mwenyekiti wa Mtaa hadi Rais. Napendekeza tuwe na katiba kama ya Switzerland, kila kitu muhimu kinapigiwa kura, Rais akizingua,akiwa hana uwezo anaondolewa fasta, kwa kutokuwa na imani naye.
Rais akifa Madarakani tuwe na uchaguzi mpya, serikali ya mpito. Yote yatakuwa kwenye katiba mpya. Hiyo ndio real, proper democracy.
Kwa kauli hii, unataka kusema Pole Pole na Bashiru si wana ccm?Nape hamkumuekewa,, kumbuka Polepole alikuaga TLP kabla hajapewa ukatibu mwenezi ccm, Bashiru alikua CUF kabla hajapewa ukatibu mkuu, ccm
Hawa jamaa mali wanazolimbikiza sasa itabidi tuwarudie hata wajukuu wao kufidia maumivu wanayotusababishia makusudi kabisa. Kwa sasa wanatuona wajinga hadi wanajipa majina ya ina wenyewe ila kuna siku kama sio wao basi damu zao zitalipia haya makosa yaoFuentte, tuna watu hawajui, labda wanajua wajibu wao lakini hawataki kutekeleza.
Katiba mpya itakuwa, lazima iwe na kipengele cha kuwaondoa madarakani watu wasio fanya kazi kuanzia mwenyekiti wa Mtaa hadi Rais. Napendekeza tuwe na katiba kama ya Switzerland, kila kitu muhimu kinapigiwa kura, Rais akizingua,akiwa hana uwezo anaondolewa fasta, kwa kutokuwa na imani naye.
Rais akifa Madarakani tuwe na uchaguzi mpya, serikali ya mpito. Yote yatakuwa kwenye katiba mpya. Hiyo ndio real, proper democracy.
Kumbe nayeye alikua makini akisubiri press ya Polepole...😇
Hii inaonyesha ni kiasigani wana CCM walikua wakisuburi kwa ham kusikia Polepole akitangaza kung'atuka ehhhh...😜
Ebu nitoshe kumkumbusha Nape atunze akiba ya maneno, asije akaponzwa masikio kuzidi kichwa..