Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Siku zote wanajiona, wanafikiri wamezaliwa kutawala. Katiba mpya itasaidia kuondoa huu upuuzi wa kupendelea wachache, jina la baba yako, unanijua mimi ni nani.

Itawapa fursa vijana wenye akili, maono, wanaolipenda taifa kuweka maslahi ya taifa mbele.

Wanasahau wazee, baba zao, Enzi zile wote tulikuwa maskini wa kujitambua, elimu ya darasani.
Hakika mkuu ruaharuaha
 
Kama hii siyo fake basi Nape yupo kwenye usingizi wa pono.

Ccm ya Polepole ilikuwa inaheshimika mbele ya jamii kuliko Ccm ya Nape walikuwa wanazomewa kila mahali.

Kama anabisha asubiri 2025 aone nani mwenye nguvu kwa wananchi kati ya Nape na Polepole.

Watanzania siyo wajinga tena ndiyo maana hata wakitangaza mgao wa umeme wanatukanwa kila kona
Inaheshimika na nani? Upuuzi mtupu. Kufunga watu kwa kesi za uongo? Kununua wapinzani?
 
Hilo ndio tatizo la Nape ni majuzi tu nilisema huyu dogo anadhani anayo haki ya kuzaliwa kuwa kiongozi nchi hii.

Ana majivuno afadhali basi angekuwa na huo uwezo katika uongozi.

Jamaa limbukeni kweli kweli yaani. Hii nadharia ya watu kudhani wao ndio wenye hati miliki ya CCM wakati wote wamekikuta na kujiunga; hata huyo Makongoro mwenyewe hajisikii kama Nape.
 
CCM ya Nape kuzomewa inamaana kulikua na uhuru wa kuongea na kutoa maoni. CCM ya Polepole waliotoa hoja waliuwawa kama Ben Saanane, waandishivwa habari za uchunguzi wakipotea kama Azory Gwanda.
Acha uongo una ushahidi unayoyasema? Vipi umeshahama Chagadema au? CCM itatawala mpaka mwisho wa kiama kwa akili hizi za upinzani
 
Watu waliozoea ugomvi.wanaependa kuhombana nae wameshamfungia,sasa wamekosa wa kugombana nao wanagombana wenyewe.
Hovyo kabisa.
 
Siasa za nchi hii zishakua za majitaka, maana kila anaetoka nje ya system lazima amwagiwe majitaka, ilimradu tu anuke mbele za wananchi.
Anyway, sitaki kusema nani sawa ama nani sisawa zaidi naweka kumbukumbu sawa na ninabakiza akiba ya maneno.
 
CCM ya Nape kuzomewa inamaana kulikua na uhuru wa kuongea na kutoa maoni. CCM ya Polepole waliotoa hoja waliuwawa kama Ben Saanane, waandishivwa habari za uchunguzi wakipotea kama Azory Gwanda.
Kwa hoyo waliokuwa wanazomea ccm ya Polepole ni hao wawili tu?

Basi ccm ya Nape ilikuwa hoi
 
Kama hii siyo fake basi Nape yupo kwenye usingizi wa pono.

Ccm ya Polepole ilikuwa inaheshimika mbele ya jamii kuliko Ccm ya Nape walikuwa wanazomewa kila mahali.

Kama anabisha asubiri 2025 aone nani mwenye nguvu kwa wananchi kati ya Nape na Polepole.

Watanzania siyo wajinga tena ndiyo maana hata wakitangaza mgao wa umeme wanatukanwa kila kona
Pia cuf ya maalimu iliheshimika kuliko cuf leprofesorer/buguruni🤔
 
We bana mm sijui,, Nape au Mdogo mdogo wote hakuna wanacholisaidia taifa,, zaidi ya kutafuta ugali wao,, hawasemi siasa chafu wanazofanya viongozi wao
 
CCM ya Nape kuzomewa inamaana kulikua na uhuru wa kuongea na kutoa maoni. CCM ya Polepole waliotoa hoja waliuwawa kama Ben Saanane, waandishivwa habari za uchunguzi wakipotea kama Azory Gwanda.
Umeandika vice versa madam. Punguza hasira.
 
Nape ni wa kupuuzwa tangia alipotamba na goli la mkono akapitiliza na kulifuta bunge live

Huyu hana maana kabisa
 
Back
Top Bottom