Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

Hawa wapuzi kila mmoja anaangalia ugali wake.. hakuna mtetezi wa wananchi / mzalendo wa kweli hapo..
Kipindi cha Jpm nape naye alikuwa hana bweka kama saivi kipndi cha SSH, pole pole anavyo bweka.... kiufupi ccm inaenda kuanguka anguko kubwa sana kisiasa..
 
Ccm imerudi kwa wenyewe. Nyie washamba kaeni mkao wa kula hapo 2025
Kama hii siyo fake basi Nape yupo kwenye usingizi wa pono.

Ccm ya Polepole ilikuwa inaheshimika mbele ya jamii kuliko Ccm ya Nape walikuwa wanazomewa kila mahali.

Kama anabisha asubiri 2025 aone nani mwenye nguvu kwa wananchi kati ya Nape na Polepole.

Watanzania siyo wajinga tena ndiyo maana hata wakitangaza mgao wa umeme wanatukanwa kila kona
 
Sasa tunaanza kuwaelewa waliosema kitambo kuwa akili ndogo kutawala akili kubwa. Huyu tunategemea miaka 10, 20 ujayo atakuwa miongoni mwa wazee kama Mzee Warioba, Msekwa, Salim na watakuwa wanaenda kuombwa ushauri kutokana na uzoefu wao.
Cha uhakika ni kuwa akili yake hii huenda ndio akili ya 'genge' lao ambalo juzi tu tumempoteza rais wa nchi kutoka chama chao na tunadhani bado wanaomboleza lakini haoni staha yoyote ya kusema kuwa 'godfather wako....', very sad indeed.

Kukumbushana tu, huyu aliwahi kuwa mbunge, katibu mwenezi taifa na kibaya kabisa amewahi kuwa waziri na huenda baadhi ya maamuzi tunayoenda nayo leo yalipitishwa chini yake.

Ukisikia maana ya nchi kukosa mwelekeo basi leo unaweza kushuhudia
 
Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;


"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592


Chama kina Wenyewe - Kumbe CCM iko mifukoni mwa watu wachache kumbe. Ina maana wana uwezo wa kufanya wanachotaka na ata nchi iko mfukoni mwa wachache. Africa kuna shida sana.
 
Ushauru wangu was bure kwa Polepole
"Never argue with fools"
 
Juzi katuwekea kumbukumbu za marehemu baba yake akilazimisha nchi imtambue ilihali hilo halitawezekana,
Kila mara utasikia mzee kafamyia nchi hii makubwa, makubwa yapi labda ya kuandaa mafisadi kama alivyo mwanae na timu yake
 
CCM ya Polepole ilijaza hata wana-CCM wenyewe woga usio wa nchii hii. Ilikuwa ni mwiko kuwa na maoni tofauti. So kutozomewa ni woga.

CCM ya Nape ilikuwa na demokrasia ndo maana ilizomewa mana watu walikuwa na uhuru wa kukosoa.
 
Sasa tunaanza kuwaelewa waliosema kitambo kuwa akili ndogo kutawala akili kubwa. Huyu tunategemea miaka 10, 20 ujayo atakuwa miongoni mwa wazee kama Mzee Warioba, Msekwa, Salim na watakuwa wanaenda kuombwa ushauri kutokana na uzoefu wao.
Cha uhakika ni kuwa akili yake hii huenda ndio akili ya 'genge' lao ambalo juzi tu tumempoteza rais wa nchi kutoka chama chao na tunadhani bado wanaomboleza lakini haoni staha yoyote ya kusema kuwa 'godfather wako....', very sad indeed.

Kukumbushana tu, huyu aliwahi kuwa mbunge, katibu mwenezi taifa na kibaya kabisa amewahi kuwa waziri na huenda baadhi ya maamuzi tunayoenda nayo leo yalipitishwa chini yake.

Ukisikia maana ya nchi kukosa mwelekeo basi leo unaweza kushuhudia
Na amewahi kudhalilishwa kwa kutishiwa risasi hadharani na kufukuzwa uwaziri...
Unafikiri watanzania wamesahau ninyi Sukuma gang?!!
 
CCM ya Nape kuzomewa inamaana kulikua na uhuru wa kuongea na kutoa maoni. CCM ya Polepole waliotoa hoja waliuwawa kama Ben Saanane, waandishivwa habari za uchunguzi wakipotea kama Azory Gwanda.


Hivi ni nani alipitishaga ile sheria mpya ya vyombo vya habari🤔🤔

Haya mambo hayataki hasira💣💣
 
Back
Top Bottom