TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
kupitia vipindi vya shule ya uongozi vinavyoandaliwa na Polepole pia na leo Ndugu Polepole ameeleza namna ya wananchi wanavyopaswa kuhoji mambo yanayowahusu kwa mamlaka husika.Ok kwa hiyo akina makonda mtoto mpendwa wa Mwendakuzimu walipoingiza samani walilipakodi
Suala la Makonda, kuna uwezekano linakuhusu. Kwa hiyo nakushauri ukaulize mamlaka husika zikupe majibu ama pia waweza kumtafuta Makonda akupe majibu sahihi.