Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
Nape amemaanisha nini hapo MkuuNape anajishushia anajishushia heshma zaidi na maneno na hizi tabia za kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nape amemaanisha nini hapo MkuuNape anajishushia anajishushia heshma zaidi na maneno na hizi tabia za kike
Acha hasira mkuu. Kaeni kimya...Tunafungua nchiIla unajua wewe.
Nape anajishushia anajishushia heshma zaidi na maneno na hizi tabia za kike
Nape kafanya blunder wala siyo error ! Ajirudi, sisi tuna Tanzania moja hatuna nchi nyingine, yeye kama ana uraia wa nchi zaidi ya moja aende huko kwingine atuachie TANZANIA yetu!
Amemaanisha eti hii wiki mvua ilinyesha kule Darisalama...🤣Nape amemaanisha nini hapo Mkuu
Kwahiy akina ben, mawazo, azory walijiua ama?? Acha upopoma!! Kwamba hao wanaotawala wanaakil sana? Issue ya kutawala haiangalii uwe na akili. Refer maneno ya diallo ✔️Acha uongo una ushahidi unayoyasema? Vipi umeshahama Chagadema au? CCM itatawala mpaka mwisho wa kiama kwa akili hizi za upinzani
Hata mimi nimeona, mtu aliyekua na wadhifa wa juu ndani ya chama kama nape kuropoka hadharani kwamba chama kina wenyewe inaleta ukakasi.Siyo kauli ya kuchekea hii! Ni hatari kwa usalama wa chama na Taifa!
Think tank ya s'gangsters hiyo 🤣🤣🤣Si unaona badala ya kujibu hoja unatukana. Sukuma gang bwana, hovyo
Acha kua kolo wew jibu hoja!!Kuna hoja gani hapo zaidi ya utopolo!
Ukiunganisha na hilo kongamano la kuadhimisha kifo cha nauye.Siyo kauli ya kuchekea hii! Ni hatari kwa usalama wa chama na Taifa!
Wenye chama chao. Wewe kiroboto tuliaChadema wanafungua nchi!!?
Binadamu ni wabinafsi sanaAmemaanisha eti hii wiki mvua ilinyesha kule Darisalama...🤣
VirobotoCHADEMA AU?
Watu kupigwa marisasi na kufanywa vilema bila kisa, wasiojulikana kutamalaki tena kwabkidi zetu wenyewe, ben saanane, Azory, watu kutekwa, maiti kuokotwa ufukwen, watu kunyanganywa fedha zao kibabe, watumishi wa umma na wanasiasa kufukuzwa kibabe, ukabila nk nkKundi hilo lilifanya vizuri sana, Umeme,maji wa kuaminika gani?Mfumuko wa bei kuthibitiwa.
Watu wa kipato chini kupata ridhiki.
Barabara, elimu bure, Afya kupunguza kodi, za umeme kwa muda wote uliziona.
35% wakitalawa nchi yao ndio Nongwa.
Kwenye kundi la wahuni unaona ni sawa wafanye ujinga wowote. Tuwaangalie tu kama sisi wote ni wapumbavu . Tatizo ni ukabila unakusumbua.
Nape na wenzake walitutesa Sana,tulitembea tukificha jezi zetu.