Nijue so what???!!!Hivi wewe unajua mimi naandika kutoka wapi? kweli wewe unahitaji msaada wa Mungu.
Tulia wewe chama lina wenyewe hilo chama la Wana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijue so what???!!!Hivi wewe unajua mimi naandika kutoka wapi? kweli wewe unahitaji msaada wa Mungu.
Mbwa kala mbwa.Baada ya Polepole kuongea na Waandishi wa Habari. Mbunge wa Mtama Nnape Nnauye, ameandika kwenye Mitandao ya kijamii;
"Aaaah kiroboto🤣🤣ulishindwa akiwepo godfather utaweza leo?!!? Kina wenyewe shekh! Lakini ni kawaida punda roho ikiwa inaacha mwili hutupa mateke 🎼NONSENSE!!"
View attachment 2040636
View attachment 2040592
Mbona hukuyasema haya wakati kundi dogo la kikabila la dikteta likiwa linatamalaki?!!!Ndio tatizo kuna kundi flani dogo linafikiri siku zote litawale wenyewe na familia zao, watoto wao.
Wengine wote ni wajinga.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, watu wengi humu JF hawaelewi hata nini kinaendelea kuhusu hii movie.
Ngoja leo hapa JF nifungue code chache.
Sote tunapaswa kujua kuwa kuna vita kubwa sana ya kimaslahi ndani ya CCM kwa sasa baada ya Magufuli kufariki dunia. Vibaraka wote wa JPM wamepangwa kunyofolewa kwenye madaraka ya serikali na chama ili vibaraka wa Hangaya (JK) washike hatamu. Anachokifanya Hangaya ni kutimiza mapatano ya uhuni wa 2015 uliofanywa na JK kupitia genge lake (akiwemo Nape, January, Kinana, Makamba nk) uliohakikisha ufalme haiendi kwa mmasai wala hauendi upinzani kwa kutumia koti la kisukuma (JPM). Alichokifanya JPM baada ya kuingia madarakani kilikuwa kiko kinyume na mapatano ya kupewa urais wa dezo na genge la Msoga, ule ulikuwa ni uasi dhidi ya JK. Huo ndio ukweli wa kwanza.
Ukweli wa pili ni kuwa, Pole Pole ndio mjumbe rasmi wa kuongea mbele ya umma kuwakilisha Sukuma gang. Pole Pole anatumika kutishia, kutikisa kiberiti na kutuma ujumbe dhidi ya utawala wa Msoga gang. Wale wote waliokuwa ndani ya utawala wa JPM na kwa sasa wako kimya, basi mdomo wao wa kusemea ni Pole Pole. Ukiona ngedere mjini basi ujue kuna mtu anamfuga!
Ukweli wa tatu ni kuwa Pole Pole yuko mbioni kufukuzwa, kusimamishwa au kufungwa mdomo kisiasa (kupewa cheo cha kufungwa mdomo kama ubalozi, RAS nk) na utawala wa sasa, na tayari hilo ameshalijua, press yake ya leo ilikuwa ni "Political strategy" ya kuwatisha watawala waogope kuchukua hatua walizozipanga au wakizichukua iwe more advantage kwake kisiasa, hiyo inaitwa Pre emptying approach. Tetesi za kusema leo Pole Pole alikuwa ajivue uanachama wa CCM mbele ya vyombo vya habari zilianzishwa na team ya Pole Pole, kimakusudi na kimkakati ili kutisha na kupima upepo wa watawala wa sasa. Ni mbinu ya kisiasa.
Ukweli wa nne ni kuwa Nape ndio mwanasiasa aliyepangwa rasmi na Msoga gang kujibizana na Pole Pole kwa sasa. Anachokifanya sasa Nape sio bahati mbaya, ni jambo limepangwa na analitekeleza. Muda sio mrefu Nape naye atakuwa na vipindi vya tv na platform za kuongea mitandaoni. Yaani ngedere atajibiwa na ngedere, maana wote wako mjini wanafugwa!
Mwisho kabisa ni kuwa Nape anarudishwa tena serikalini, muda sio mrefu, na huenda akarudishwa wizara ile ile aliyotolewa au kwenda wizara fulani mpya iliyoanzishwa na Magufuli ikihusika na wizara ile ile aliyokuwepo Nape
Nape kafanya blunder wala siyo error ! Ajirudi, sisi tuna Tanzania moja hatuna nchi nyingine, yeye kama ana uraia wa nchi zaidi ya moja aende huko kwingine atuachie TANZANIA yetu!Ndio tatizo kuna kundi flani dogo linafikiri siku zote litawale wenyewe na familia zao, watoto wao.
Wengine wote ni wajinga.
Nape aache utoto na mambo yetu wanawake ya kuchambana. Halafu huyu eti naye alikuwa waziri. Zero kabisa.
Democracy,Nape aache utoto na mambo yetu wanawake ya kuchambana. Halafu huyu eti naye alikuwa waziri. Zero kabisa.
Hahaha kweli mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchunguSiyo kauli ya kuchekea hii! Ni hatari kwa usalama wa chama na Taifa!
Mbona hukuyasema haya wakati kundi dogo la kikabila la dikteta likiwa linatamalaki?!!
Wanyonge ❌❌❌. Hii sio sifa kbsKama aliyoyasema Nape kwenye twiter yake siyo fake basi Nape yupo kwenye usingizi wa pono.
Ccm ya Polepole ilikuwa inaheshimika mbele ya jamii kuliko Ccm ya Nape walikuwa wanazomewa kila mahali.
CCM ya Polepole ilijari wanyonge ambao ndiyo wapiga kura, ilitekeleza miradi ya matrillioni ya shillingi kwa manufaa ya watanzania.
Chini ya Polepole walijitokeza maelfu ya watu wanaoomba uongozi wa ubunge kupitia ccm na chini yake wakapata ushindi wa zaidi ya 84%
Kama anabisha asubiri 2025 aone nani mwenye nguvu kwa wananchi kati ya Nape na Polepole.
Watanzania siyo wajinga tena ndiyo maana hata wakitangaza mgao wa umeme wanatukanwa kila kona