Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii kauli ulisema 2015 ,ukasema 2020 na leo unarudia sijawahi kuona watu waoga kama Chadema

USSR
Mtu akisema Mara moja inaweza kuwa utani lakini akirudia zaidi ya mara moja sio utani huwa ni kweli anachosema.
 
Nape amemdhalilisha mama ina maana yeye na CCM hakuna alilofanya kwa nchi hii ili kuweza kushinda kura bila kuiba. Kuna haja gani ya wananchi kujiandikisha kupiga kura hii kauli NAPE aifute vinginevyo amewaweka ccm kwenye hali mbaya ya kusafisha hali ya hewa kisiasa. Lissu alikuwa sahihi kukemea fedha chafu kutoka ccm kwenda chadema. kwa kauli hii, Vyombo vya dola,dini zote na asasi za kiraia vina haja sasa kusimama na wananchi kuitafuta haki katka uchaguzi ujao kabla mambo hajaharibika. watu wamenyong'onyea sana kwa kauli hii. imetonesha vidonda.
 

Japo alichosema huyo bwana ndio uhalisia, ila nafikiri kuna njama za kumharibia na kumchafua Rais.

Huyu bwana ni kituko na aibu tupu katika umma wa wapenda demokrasia na utawala bora.
 
Ni kweli kanuni za maadili walizosaini vyama zina maana gani. Viongozi wa dini mnatazama tu kwa kauli hizi kweli. watu wanapiga vigelegele. Aibu!
 
Nape Nnauye amekiri wazi kuwa CCM huwa inaiba kura, kwa hiyo ni vema umwondoe kwenye uwaziri mtu huyu kabla sisi wananchi hatujampeleka mahakamani.
imagine samia anavyopambana kuwaaminisha wananchi kwamba uchaguzi utakuwa huru na haki, na mwaka huu na mwakani ndio mazingira yenyewe ya uchaguzi, sawa na unaenda msibani afu unafanyia utani wafiwa bila kusubiri msiba uishe, nape ametoa utani mbaya sana kwenye majira ya uchaguzi. this is too detrimental na wanatakiwa kumwajibisha.
 
Hii kauli ulisema 2015 ,ukasema 2020 na leo unarudia sijawahi kuona watu waoga kama Chadema

USSR
Kwahiyo wewe usiyechadema imeridhika au?, paza sauti ya kukemea taifa linaenda pabaya. Huyo katamka wezi walioweka moyoni je?
 
Aliposhikiwaga bastola alishupaa sana huyu jamaa. Bangalore city college alumnus huko India. 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…