Nelp
Nepi ni pimbi hajielewi kabisa!Tulimhurumia alivyoburuzwa na Jiwe kumbe tulifanya kosa kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nepi ni pimbi hajielewi kabisa!Tulimhurumia alivyoburuzwa na Jiwe kumbe tulifanya kosa kubwa
Nepi ni mpumbavu sana kichwani!Nape kaamua kutukana watanzania
Nape safari hii Hatutakubali, Nakuhakikishia kwamba Nchi utaipasua wewe na wenzako, hatutakubali ujinga tena, Waambie kabisa wanaokutuma
Safari hii Patachimbika
Si mara ya kwanza kuwadhibiti watu wa hivyo
Nashindwa kuamini kwamba Msigwa aliibiwa kura ndiyo sababu akahamia CCM, na kama ilikuwa hivyo basi ni ujumbe ulikuwa unafikishwa kwamba tumeshapata habari unahitajika urudi kundini, wanakuita.Uchaguzi una mambo mengi, kama Chadema walimuibia kura Mchungaji Msigwa kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kanda, mpaka akachukia akahama Chama.
Ila Byabato hatarudi Bungeni, analalamikiwa sana na wapiga kura, hapokei simu ili aelezwe kero.
Kwa kauli alizozitoa hata wananchi wa jimbo lililomchagua kama wanaoufahamu wa kutosha hawatampigia kura zaidi ya moja, ya kwake mwenyewe. Kwa kifupi amewadhalilisha wananchi wa jimbo lake.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.
"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.
Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.
Kauli ya Chama ~ CCM yakataa maneno aliyosema Nape kuhusu ushindi wa kura unategemea na anayehesabu kura
Pia, utetezi wake: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
PIA SOMA
- Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo
Wacha ninywe majiSi mara ya kwanza kuwadhibiti watu wa hivyo
Nape safari hii Hatutakubali, Nakuhakikishia kwamba Nchi utaipasua wewe na wenzako, hatutakubali ujinga tena, Waambie kabisa wanaokutuma
Safari hii Patachimbika
Lakini amesema ukweli mchungu kuhusu suala la chaguzi za Siasa hapa TanzaniaMungu msamehe Nape Nnauye
kauli ya nape kauli ya ccmNape safari hii Hatutakubali, Nakuhakikishia kwamba Nchi utaipasua wewe na wenzako, hatutakubali ujinga tena, Waambie kabisa wanaokutuma
Safari hii Patachimbika
uwizi hata shuleni ndo ilikuwa mchezo wake, hata sasa pale open universityMzee wa BAO LA MKONO..
Jamaa kitambo ni mtaalamu wa kuiba kura
Kwa kweli ukiangalia clip nyingine inayosambaa ikihusu jinsi alivyoshiriki kwenye uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki unapata wepesi wa kukubali unayoyosema, kwamba hakuna alicho nacho ambacho ni cha halali. Hivi ana elimu ya level gani huyu kijana?uwizi hata shuleni ndo ilikuwa mchezo wake, hata sasa pale open university
Huyu mshenzi kachafua hali ya hewa vibaya sana.Insonekana kauli ya Nape na nyingine zinazotolewa kuwa kwa hali ya mifumo ya uchaguzi iliyopo upinzani hauwezi kushinda kutokana na wizi wa Mzee wa Nusu Halali na Haramu,kwa hali ilivyo wapenda haki kwenye uchaguzi wanaweza wasishiriki kwenye uchaguzi na kusababisha wapinzani kupigwa chini. Tafuteni mbinu ya kisayansi kuikabili kauli hii,vinginevyo wengi tutaona haina maana kushiriki uchaguzi kuanzia serikali za mitaa. Mutuhakikishie wizi hautatokea.
Insonekana kauli ya Nape na nyingine zinazotolewa kuwa kwa hali ya mifumo ya uchaguzi iliyopo upinzani hauwezi kushinda kutokana na wizi wa Mzee wa Nusu Halali na Haramu,kwa hali ilivyo wapenda haki kwenye uchaguzi wanaweza wasishiriki kwenye uchaguzi na kusababisha wapinzani kupigwa chini. Tafuteni mbinu ya kisayansi kuikabili kauli hii,vinginevyo wengi tutaona haina maana kushiriki uchaguzi kuanzia serikali za mitaa. Mutuhakikishie wizi hautatokea.