Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Pre GE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sidhani kama kauli ya Nape ndio imechangia, na kama imechangia ni kwa kiasi kidogo sana, maana tayari wananchi wameshapuuza chaguzi zetu. Ukiangalia vizuri hamasa ya wapiga kura ilikuwa inaongezeka kila mwaka kabla ya Magufuli kuingia madarakani. Lakini baada ya Magufuli kuingia tukaanza kushuhudia chaguzi za kihayawani mno.

Hata uchaguzi wa 2020 ulikuwa na wapiga kura wachache sana, ukweli unaofichwa, kutokana na maagizo ya Magufuli ya kulazimisha wagombea wa ccm kutangazwa washindi bila kujali box la kura. Na lengo la Magufuli ilikuwa ni kuhadaa umma na dunia kuwa ni kiongozi aliyeiimarisha ccm, na kuifanya kupendwa tena, wakati uhalisia ni kuwa watu walishaichoka ccm. Na kitendo cha sasa ccm kulazimisha tume iwe chini ya mwenyekiti wao huku tukiwa na kumbukumbu ya ya uchafu wa 2019-20, ndio kutachangia zaidi wapiga kura kuwa wachache.

Inshort Tanzania hakuna uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ccm ishauriwe kuwa sio chama cha kizazi hiki, na haiwezi kuendelea kushurutisha kubaki madarakani bila ridhaa ya umma. Ni aidha machafuko au mapinduzi ya kijeshi, ili heshima ya box la kura irejee.

ChoiceVariable Lucas Mwashambwa
Watu wanajua Rais ajaye ni Sa 💯,la kujiandikisha inategemea wanachoma wenu ,makundi mengine hawana mda wa kusubiria stori za Wanasiasa zisizo na msingi
 
Watu wanajua Rais ajaye ni Sa 💯,la kujiandikisha inategemea wanachoma wenu ,makundi mengine hawana mda wa kusubiria stori za Wanasiasa zisizo na msingi
Wataachaje kujua kuwa ni yeye wakati tume ya uchaguzi wanafuata maagizo yake?
 
Sidhani kama kauli ya Nape ndio imechangia, na kama imechangia ni kwa kiasi kidogo sana, maana tayari wananchi wameshapuuza chaguzi zetu. Ukiangalia vizuri hamasa ya wapiga kura ilikuwa inaongezeka kila mwaka kabla ya Magufuli kuingia madarakani. Lakini baada ya Magufuli kuingia tukaanza kushuhudia chaguzi za kihayawani mno.

Hata uchaguzi wa 2020 ulikuwa na wapiga kura wachache sana, ukweli unaofichwa, kutokana na maagizo ya Magufuli ya kulazimisha wagombea wa ccm kutangazwa washindi bila kujali box la kura. Na lengo la Magufuli ilikuwa ni kuhadaa umma na dunia kuwa ni kiongozi aliyeiimarisha ccm, na kuifanya kupendwa tena, wakati uhalisia ni kuwa watu walishaichoka ccm. Na kitendo cha sasa ccm kulazimisha tume iwe chini ya mwenyekiti wao huku tukiwa na kumbukumbu ya ya uchafu wa 2019-20, ndio kutachangia zaidi wapiga kura kuwa wachache.

Inshort Tanzania hakuna uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ccm ishauriwe kuwa sio chama cha kizazi hiki, na haiwezi kuendelea kushurutisha kubaki madarakani bila ridhaa ya umma. Ni aidha machafuko au mapinduzi ya kijeshi, ili heshima ya box la kura irejee.

ChoiceVariable Lucas Mwashambwa
Kweli 2020 wapiga kura walikuwa wachache mfano kituo nilichosimamia kura waliokuwa kwenye daftari la wapiga kura walikuwa 370 lakini waliojitokeza kupiga kura walikuwa 142 hata nusu hawa kufika kwanza kwa sasa isipopita hamasa kubwa idadi hiyo itapungua sana mwakani
 
kwa hali ya mifumo ya uchaguzi iliyopo upinzani hauwezi kushinda kwa hali ilivyo wapenda haki kwenye uchaguzi wanaweza wasishiriki kwenye uchaguzi na kusababisha wapinzani kupigwa chini.
Naunga mkono hoja, tatizo sio kauli ya Nape, tatizo alichokisema is the reality, hivyo Nape ashukuriwe kutusaidia kulijua hili tu deal nalo. Kuelekea 2025 - Kwa kauli ya Nape kuhusu chaguzi zetu, anastahili kulaumiwa au kupongezwa kwa kuusema ukweli?

Akina sisi tumelizungumza sana hili humu,

Mimi nimeshauri Kuelekea 2025 - Baada ya Mtu Kusema Ukweli Kuhusu Uchaguzi Kuendeshwa kwa Mutatis Mutandis, Tunaomba Uchaguzi Mkuu wa 2025 Uendeshwe kwa Ceteris Peribus!
P
 
Viongozi wa dini nao kimya tu wakati hali inaendelea kuwa mbaya wakemee, dr Kitima katika mahojiano alisema uchaguzi wa 2024/25 utakuwa kama ule wa 2019/2020 baada ya kufanya tathmini yake ya chaguzi ndogo za hivi karibuni. Hii shida ni kubwa tumesikia wananchi wanalalamika,vyama vinalalamika, NGO zinalalamika, TEC na wengine wanalalamika kichinichini sasa nani amfunge paka kengele.
 
Ccm ndiyo wasimamizi wa uchaguzi
Ccm ndiyo wanaohesabu kura
Ulinzi na usalama pia ccm
Sasa kwa hayo tu utamuweza kweli

Ova
 
Hili ni bumunda kweli
 

Attachments

  • 20240628_151336.jpg
    20240628_151336.jpg
    129.5 KB · Views: 2
Kweli 2020 wapiga kura walikuwa wachache mfano kituo nilichosimamia kura waliokuwa kwenye daftari la wapiga kura walikuwa 370 lakini waliojitokeza kupiga kura walikuwa 142 hata nusu hawa kufika kwanza kwa sasa isipopita hamasa kubwa idadi hiyo itapungua sana mwakani
Wapiga kura wa sasa watakuwa wachache zaidi ya wale hiyo 2020, maana watu wamepoteza hamasa ya siasa, na wamepuuza uchaguzi na siasa kwa ujumla. Na hiki kitendo serekali kuendelea kutaka tume ya uchaguzi iwe chini ya mwenyekiti wa ccm, ndio wapiga kura watakuwa wachache zaidi. Kwa ujumla wananchi wamepuuza uchaguzi na siasa kwa ujumla.
 
Sidhani kama kauli ya Nape ndio imechangia, na kama imechangia ni kwa kiasi kidogo sana, maana tayari wananchi wameshapuuza chaguzi zetu. Ukiangalia vizuri hamasa ya wapiga kura ilikuwa inaongezeka kila mwaka kabla ya Magufuli kuingia madarakani. Lakini baada ya Magufuli kuingia tukaanza kushuhudia chaguzi za kihayawani mno.

Hata uchaguzi wa 2020 ulikuwa na wapiga kura wachache sana, ukweli unaofichwa, kutokana na maagizo ya Magufuli ya kulazimisha wagombea wa ccm kutangazwa washindi bila kujali box la kura. Na lengo la Magufuli ilikuwa ni kuhadaa umma na dunia kuwa ni kiongozi aliyeiimarisha ccm, na kuifanya kupendwa tena, wakati uhalisia ni kuwa watu walishaichoka ccm. Na kitendo cha sasa ccm kulazimisha tume iwe chini ya mwenyekiti wao huku tukiwa na kumbukumbu ya ya uchafu wa 2019-20, ndio kutachangia zaidi wapiga kura kuwa wachache.

Inshort Tanzania hakuna uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ccm ishauriwe kuwa sio chama cha kizazi hiki, na haiwezi kuendelea kushurutisha kubaki madarakani bila ridhaa ya umma. Ni aidha machafuko au mapinduzi ya kijeshi, ili heshima ya box la kura irejee.

ChoiceVariable Lucas Mwashambwa
Signature yako nimeipenda, huo ni ukweli mtakatifu!!
 
Huyu mshenzi kachafua hali ya hewa vibaya sana.
View attachment 3045971
Hii cartoon ni moto! Mwanaume aliye na "solid pride" hawezi kuendelea kukalia nafasi yake baada matamshi yale na reaction au mlipuko wa kiasi hiki kwenye vyombo vya habari. Ningejiuzulu mara baada ya kuiona hii cartoon! Hivi kweli watoto na wajukuu wanione nimechorwa hivyo??? Nitajihisi kuwa nafsi tupu.
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Teknolojia ya Habari Nape Moses Nnauye amewatoa wasiwasi wakazi wa Bukoba na wanachama wa CCM kuwa Mbunge wao Stephen Byabato atashinda uchaguzi ujao na hakuna mwingine.


"Matokeo ya kura siyo lazima yawe yale ya kwenye box, inategemea nani anahesabu na nani anatangaza. Unajua kuna mbinu nyingi za uchaguzi, Kuna halali, nusu halali na haramu na zote zinaweza kutumika ilimradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe" alisema Nape.

Aliyesema hayo katika Soko la Kashai jana Julai 15 usiku alipoalikwa na Mbunge Byabato kushuhudia ramani na michoro ya Soko jipya la Kashai linalotarajiwa kujengwa.

Kauli ya Chama ~ CCM yakataa maneno aliyosema Nape kuhusu ushindi wa kura unategemea na anayehesabu kura

Pia, utetezi wake: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

PIA SOMA
- Mitandao ya simu inapaswa kutoa ufafanuzi hii kauli ya Nape haitakiwi kupuuzwa hata kidogo
Yote hayo watanzania wanayajua vzr sana,hakuna uchaguzi CCM wameshinda hapa Tanzania,toka tumeanza siasa na chaguzi za vyama vingi mwaka 1995.
 
Huyu asilete mambo ya kitoto kwenye uongozi wa nchi. Nakumbuka enzi za idi amin alisema jambo la uongo dhidi ya Tanzania. Alipobanwa kwenye mkutano na viongozi wengine akasema alikua anatania. Mwalimu nyerere akaonya nchi hua hazitanii. Kwa hivyo Nappe hakika haitendei sawa nafasi ya uwaziri.
Sidhani ni nape huyu enzi hizo, kwani wakati huo huyu alikuwa kijana mdogo sana mkuu!
 
Kweli hawa wezi,yaani Mil 300 anasema ni hela ndogo sanaa.
Wakati watumishi mbalimbali wanadai madeni yao na hawajalipwa.
Kweli Fisiemi ni nomaa sanaaa.
 
Back
Top Bottom