Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He behaves like a brainless GoatNape kapatwa na nini?! Ndio maana tunaomba International Observes kutoka Nchi za Magharibi waje kwenye Uchaguzi Mkuu.
HUYU ni mfa maji.Maneno aliyoyatoa mbele ya Waziri Mkuu jimboni Mtama yangetolewa na kiongozi wa chama cha upinzani angeshapewa kesi kubwa kama Uhaini au inayokaribia.
Msikilize kwenye video hii......
Duuh kwamba huamini?Ni maneno yako bila fact
Tunataka waibe halafu na waangalizi wa Kimataifa washuhudie ili tuliamshe zaidi hata Gez Z wa Kenya.Mkuu bado una imani na chaguzi ambazo mwenyekiti wa ccm ndio mtoa maagizo matokeo yaweje?
Usikimbilie kudegrade JF.Duuh kwamba huamini?
Hii sasa ni home of great sinkers not thinkers
Bado anajiona "mwenezi"... Wacha wee!Maneno aliyoyatoa mbele ya Waziri Mkuu jimboni Mtama yangetolewa na kiongozi wa chama cha upinzani angeshapewa kesi kubwa kama Uhaini au inayokaribia.
Msikilize kwenye video hii......
Ukikaona ka toto ka mbwa kanabweka juwa Mama yupo karibuManeno aliyoyatoa mbele ya Waziri Mkuu jimboni Mtama yangetolewa na kiongozi wa chama cha upinzani angeshapewa kesi kubwa kama Uhaini au inayokaribia.
Msikilize kwenye video hii......
Ndio ni ya leo?Video Ina miaka mingi hii weww unahisi ni ya leo?
Video Ina miaka mingi hii weww unahisi ni ya leo?
Mchungaji Msigwa.Nani ametishia kumchokoza Nape?
Dunia nzima ?!! [emoji1787]Tunataka waibe halafu na waangalizi wa Kimataifa washuhudie ili tuliamshe zaidi hata Gez Z wa Kenya.
Na Dunia nzima itatusapoti kama Bangladesh.
Wakulianzisha kwa sasa bado siwaoni, na kuiba wataiba vilevile. Dunia haina uwezo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.Tunataka waibe halafu na waangalizi wa Kimataifa washuhudie ili tuliamshe zaidi hata Gez Z wa Kenya.
Na Dunia nzima itatusapoti kama Bangladesh.
Labda nimeongeza chumvi kidogo huenda Urusi Uchina na Korea Kaskazini ambao ni Wakomunisti Njaa wenzenu.Dunia nzima ?!! [emoji1787]