Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Bumunda lile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, don't speal da Beanz!Wakulianzisha kwa sasa bado siwaoni, na kuiba wataiba vilevile. Dunia haina uwezo wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi.
It's what he is.He behaves like a brainless Goat
Yuko sahihi! Hatuwezi kukubali vibaraka wachukue madaraka kwa sasa. Waendelee kusugua benchi kwanza mpaka akili za utanzania zikiwafikia
Nmejiuliza pia sijui kwanini.Kwanini anashika kisogo? Ni msongo wa mawazo ama
This dude is so far up his ass kiasi kwamba hata hajui anachosema.Maneno aliyoyatoa mbele ya Waziri Mkuu jimboni Mtama yangetolewa na kiongozi wa chama cha upinzani angeshapewa kesi kubwa kama Uhaini au inayokaribia.
Msikilize kwenye video hii......
Afukuzwe uanachama ccm.Maneno aliyoyatoa mbele ya Waziri Mkuu jimboni Mtama yangetolewa na kiongozi wa chama cha upinzani angeshapewa kesi kubwa kama Uhaini au inayokaribia.
Msikilize kwenye video hii......
He is trying to impress his bossManeno aliyoyatoa mbele ya Waziri Mkuu jimboni Mtama yangetolewa na kiongozi wa chama cha upinzani angeshapewa kesi kubwa kama Uhaini au inayokaribia.
Msikilize kwenye video hii......
Mkuu nimeshangaa kutojua hili. Hii video ilitrend juzi huko Twitter Kuna online media moja(mkombozi) ndio waliiweka, nadhani walitafuta tu trend japo waliambiwa si ya mwaka huu Ina muda mrefuUsikimbilie kudegrade JF.
Wewe na mimi kila mmoja yupo huru kuleta content yenye fact.
- Nakuuliza. Huyo kwenye video ni Nape au siyo Nape?
- Hayo maneno anayoyasema yanakubalika?
- Hapo anapoongea ni jimboni Mtama au wapi?
- Utetezi wako unakufichua behind the MAKS😃
Cover yourself wellMkuu nimeshangaa kutojua hili. Hii video ilitrend juzi huko Twitter Kuna online media moja(mkombozi) ndio waliiweka, nadhani walitafuta tu trend japo waliambiwa si ya mwaka huu Ina muda mrefu
Pia hao hazungumzii kuteuliwa nafasi ya uwaziri, hapo ilikua ni kupitishwa kura za maoni jimboni
Hata hivyo kwani hujui waziri mkuu ana muda yupo nje ya nchi ziara ya kikazi?
Anakula pombe sana. Anavujisha pakachaUzuri Nape huwa hadanganyi.
Mkuu hapo nilichokueleza ni sahihi, naona mods wameiunga hii thread yako na hiyo ya 2020 ambayo ndio ya hili tukio lenyewe. Hadi hapa naamini umeelewaCover yourself well
Hilo ndo naweza kusema kwa sasa
Huyu nadhani kisaikolojia hayupo sawa. Kuna shida flani anayo.
OhHuyu fala sana