Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Nape na January hata wakijipendejeza vipi hawafai kuaminiwa na Rais yeyote!Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi, Nape Moses Nnauye akihojiwa na Mwananchi amependekeza kwamba Rais Samia Suluhu Hassan aendelee kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka 2030....