Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa

Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa

Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa, mambo yanakwenda. Wewe sema pumua ukalale.

Halafu sisi tutapima, la maana tutabeba, linalotokana tu na hasira utakuwa umesema, umepumua, sisi tumekusikia maisha yanaendelea na tunatamani Nchi ya namna hiyo.
Wamewahonga media karibu zote wasitangaze lakini kila kukicha watu wanafuatiliwa na kutekwa
 
Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa, mambo yanakwenda. Wewe sema pumua ukalale.

Halafu sisi tutapima, la maana tutabeba, linalotokana tu na hasira utakuwa umesema, umepumua, sisi tumekusikia maisha yanaendelea na tunatamani Nchi ya namna hiyo.
Umeandika nini mkuu. Rudia kusoma utajiona fala
 
Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa, mambo yanakwenda. Wewe sema pumua ukalale.

Halafu sisi tutapima, la maana tutabeba, linalotokana tu na hasira utakuwa umesema, umepumua, sisi tumekusikia maisha yanaendelea na tunatamani Nchi ya namna hiyo.
Hehehe awamu ya tano iliacha vituko na vichekesho.
 
U

Uongo haukusaidii kitu.

Uongozi wa Rais Samia is far better then the previous one.

Nape yuko sahihi.
Uongo hup sasa wakati sakata la Liliondo? Unakumbuka wale vijana wa5 waliopotea na mpk leo hawajulikani walipo? Unakumbuka kuwa Ndugai alishinikizwa ajiuzuulu? Unajua ka Bashiru Ally nae yuko kikaangoni? Unajua kuwa Mpina nae ashakaliwa vikao? Je ndugu wa Catherine Ruge walioua kule Mara?
 
Uongo hup sasa wakati sakata la Liliondo? Unakumbuka wale vijana wa5 waliopotea na mpk leo hawajulikani walipo? Unakumbuka kuwa Ndugai alishinikizwa ajiuzuulu? Unajua ka Bashiru Ally nae yuko kikaangoni? Unajua kuwa Mpina nae ashakaliwa vikao? Je ndugu wa Catherine Ruge walioua kule Mara?
Ndugai, Bashiru, mpina wanafiki tu wote hao.
 
Back
Top Bottom