Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa

Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa

Samia is beter mara mia kuliko Mwendazake..

Utawala wa Magufuli ulikuwa hauvumilii wakosoaji, Watu walikuwa wanawindwa kama Digidigi mchana kweupe na hatimae kupotezwa never to be seen again.
Wakosoaji gani hao mkuu hawa wa mitandaoni au wapi? Maana kipindi cha Magufuli humu mitandaoni walimkosoa sana na hadi kumtukana na walifanya hivyo kipindi chake chote cha uongozi na wanaendelea hadi leo akiwa kafa.

Sasa niambie akina nani wanamkosoa Samia nje ya mitandao kisha wakavumiliwa?
Job Ndugai kama asingemkosoa Samia pengine angekuwa anaendelea na uspika wake hadi sasa, Polepole kazibwa mdomo na cheo, na sasa tunaona Bashiru yanayomtokea kisa kamkosoa Samia. Sasa huo uvumilivu mnaousema ni upi ni huu wa mitandao ambao nao wanajaribu kuudhibiti kupitia wizi wa bando?
 
Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa, mambo yanakwenda. Wewe sema pumua ukalale.

Halafu sisi tutapima, la maana tutabeba, linalotokana tu na hasira utakuwa umesema, umepumua, sisi tumekusikia maisha yanaendelea na tunatamani Nchi ya namna hiyo.
Wala husikii watu wakifunga na kukimbia maduka
 
Wakosoaji gani hao mkuu hawa wa mitandaoni au wapi? Maana kipindi cha Magufuli humu mitandaoni walimkosoa sana na hadi kumtukana na walifanya hivyo kipindi chake chote cha uongozi na wanaendelea hadi leo akiwa kafa.

Sasa niambie akina nani wanamkosoa Samia nje ya mitandao kisha wakavumiliwa?
Job Ndugai kama asingemkosoa Samia pengine angekuwa anaendelea na uspika wake hadi sasa, Polepole kazibwa mdomo na cheo, na sasa tunaona Bashiru yanayomtokea kisa kamkosoa Samia. Sasa huo uvumilivu mnaousema ni upi ni huu wa mitandao ambao nao wanajaribu kuudhibiti kupitia wizi wa bando?
Kuhoji Phd ya Magufuli tu kumesababisha Ben saanane apotezwe.
Leo hii Mtu akihoji elimu ya Samia sidhani kama atapotezwa kinyama.

Magufuli alikuwa hataki critics hataki akosolewe iwe Mitaani au mitandaoni na alianzisha kikosi cha wasiojulikana kwa sababu ya kuuwa na kutesa wakosoaji wake.

Huwezi kumfananisha Samia na Magufuli kwenye haki za binadamu Samia yuko vizuri.
 
Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa, mambo yanakwenda. Wewe sema pumua ukalale.

Halafu sisi tutapima, la maana tutabeba, linalotokana tu na hasira utakuwa umesema, umepumua, sisi tumekusikia maisha yanaendelea na tunatamani Nchi ya namna hiyo.
Apumue yeye kwanza..., anazungumzaje hivyo?!
 
Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa, mambo yanakwenda. Wewe sema pumua ukalale.

Halafu sisi tutapima, la maana tutabeba, linalotokana tu na hasira utakuwa umesema, umepumua, sisi tumekusikia maisha yanaendelea na tunatamani Nchi ya namna hiyo.
Huyu mpuuzi naye hana lolote
 
Kuhoji Phd ya Magufuli tu kumesababisha Ben saanane apotezwe.
Leo hii Mtu akihoji elimu ya Samia sidhani kama atapotezwa kinyama.

Magufuli alikuwa hataki critics hataki akosolewe iwe Mitaani au mitandaoni na alianzisha kikosi cha wasiojulikana kwa sababu ya kuuwa na kutesa wakosoaji wake.

Huwezi kumfananisha Samia na Magufuli kwenye haki za binadamu Samia yuko vizuri.

Hivi enzi za Magu kina Zitto, Mbowe, Mnyika, Sugu, Mdee, Heche nk hawakuwahi kukosoa utendaji wa JPM!??
Mbona bado wapo hai
 
Kuhoji Phd ya Magufuli tu kumesababisha Ben saanane apotezwe.
Leo hii Mtu akihoji elimu ya Samia sidhani kama atapotezwa kinyama.

Magufuli alikuwa hataki critics hataki akosolewe iwe Mitaani au mitandaoni na alianzisha kikosi cha wasiojulikana kwa sababu ya kuuwa na kutesa wakosoaji wake.

Huwezi kumfananisha Samia na Magufuli kwenye haki za binadamu Samia yuko vizuri.
Tatizo mkuu huna huo mfano hata mmoja sasa wa huo uzuri wa Samia kwenye uvumilivu wa kukosolewa, mimi nimekupa mifano ya ubaya wa Samia kuwa hapendi kukosolewa kuanzia Ndugai hadi sasa Bashiru.
 
Wamewahonga media karibu zote wasitangaze lakini kila kukicha watu wanafuatiliwa na kutekwa
Tena wanaua kwa sumu ya 6 months. Ogopa sana kipindi hili. Serikali ya Dkt Magufuli na Mama Samia ya awamu ya 5 haikuwa inaua watu ila genge la mabeberu waliua watu na wao kutengeneza hizo story ili wapate kuichafua serikali hilo hilo kundi sasa linaendelea kazi yake ya kuua watu kimya kimya tena wanaua kweli kweli.
 
Hivi enzi za Magu kina Zitto, Mbowe, Mnyika, Sugu, Mdee, Heche nk hawakuwahi kukosoa utendaji wa JPM!??
Mbona bado wapo hai
Watu wanajisaulishe tu, Zitto hadi kamwita Magu ni mshamba tunaongozwa na rsis mshamba ila hakuuliwa.
 
Kuna watu humu hata mama akisoma vituko vyenu anacheka tu,hamfiti popote zaidi ya kujipendekeza.

Siasa inataka watu wanaoleta Mawazo chanya katika jamii.hii yenu sjui ni gani.sometime we need people wanatuchallenge tugrow.
 
Tatizo mkuu huna huo mfano hata mmoja sasa wa huo uzuri wa Samia kwenye uvumilivu wa kukosolewa, mimi nimekupa mifano ya ubaya wa Samia kuwa hapendi kukosolewa kuanzia Ndugai hadi sasa Bashiru.
Samia anakifua kuliko yule Ibilisi.
 
U

Uongo haukusaidii kitu.

Uongozi wa Rais Samia is far better then the previous one.

Nape yuko sahihi.
Umeupima kwa mizania ipi??

Ukimuuliza mfanyabiashara ambaye kwa mfano mzigo wake wote wa Samaki umeoza kwa kukosa umeme 48 hours nadhani atakuwa na mtizamo tofauti
 
Maharage ni chakula cha matajiri awamu hii, SUKUMA week na makombo ndio zetu maskini.

Kuoga ni ANASA na joto hili TUNAJIPULIZIA marashi kama mahiti lakini tumekuwa mahiti zinazotembea.

Kipi cha kujivunia kupanda kwa bando na kupunguzwa ujazo ili tusiweze kuwa na ACCESS ya kuwaambia ukweli watawala mitandaoni? Au kuwa bando la kutosha na kusema duku duku letu?

Kupata raka tatu za chakula kwa uuzaji wa chakula kwa bei rahisi au kupanda bei chakula
 
Back
Top Bottom