Nape Nnauye: Tangu Rais Samia mnaona, hatusikii watu wanafinywa finywa

Wamewahonga media karibu zote wasitangaze lakini kila kukicha watu wanafuatiliwa na kutekwa
 
Umeandika nini mkuu. Rudia kusoma utajiona fala
 
Hehehe awamu ya tano iliacha vituko na vichekesho.
 
U

Uongo haukusaidii kitu.

Uongozi wa Rais Samia is far better then the previous one.

Nape yuko sahihi.
Uongo hup sasa wakati sakata la Liliondo? Unakumbuka wale vijana wa5 waliopotea na mpk leo hawajulikani walipo? Unakumbuka kuwa Ndugai alishinikizwa ajiuzuulu? Unajua ka Bashiru Ally nae yuko kikaangoni? Unajua kuwa Mpina nae ashakaliwa vikao? Je ndugu wa Catherine Ruge walioua kule Mara?
 
Ndugai, Bashiru, mpina wanafiki tu wote hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…