Ishu ni mgomo /msimamo wa wabunge endapo watakuwa na msimamo wa upande mmoja hii itamsumbua sanaTatizo ni yule bwege pale kwenye madhabahu ya bunge ndio yupo upande wa jiwe[emoji16][emoji16][emoji16]
Anaweza kutembeza mpera wa kamati ya Nidhamu!
Wanafikiri watasepa kizembe, hii serikali ya sasa inachonifurahisha ni kwenye ubunifu wa kutoa kibano kwa raia wako vizuri 😂😂😂!!!inaandaliwa database ya wadaiwa wote ukipita migration kugonga muhuri ndio inakua mwisho wa safari
Labda wote wawe against Mgogo!Ishu ni mgomo /msimamo wa wabunge endapo watakuwa na msimamo wa upande mmoja hii itamsumbua sana
ni kweli wana taaluma ila wanakuja na polisi na bunduki na karandinga kukubeba usipotoa hela! baad ya hapo waakufungulia uhujumu uchumi kama ulitakiwa kodi ulipe 50M utalipa 400M kilazimaSiyo kweli,wanaokusanya kodi wanataaluma kabisa,tatizo hawafanyi kazi kwa uhuru kulingana na taaluma zao wanafanya kazi kwa shinikizo la mtu mmoja.
Sema lioga likitishwa kidogo litakwenda Ikulu linaliaMbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema kuna changamoto kubwa ya biashara nyingi kufungwa na hili ni kutokana na Serikali kutotumia Wanataaluma katika kukusanya kodi.
Mafanikio yanayofurahiwa sasa kwenye mapato ni ya muda mfupi lakini itafika wakati hakutakuwa na cha kukusanya. Asema baadhi ya Wafanyabiashara wanatishwa kwa mashtaka ya Uhujumu #Uchumi hivyo huamua kufunga biashara.
ukimhukumu mkosaji adhabu ya kufungwa miaka 300 maana yake nini wakati unajua muda wake wa kuishi hapa duniani haizidi miaka 130! Ni sawa na hizo adhabu unazosema. Halafu tunasema tumevuka malengo as if biashara zimezalisha kodi kumbe ni adhabu!Kodi inatakiwa ukusanye kwa Nguvu wabongo hawaendi kwa barua utamaliza Rimu ya barua na hakuna kodi kubwa kodi nyingi ni adhabu watu wana default sheria za kodi
Kaa kimyaa utumie hizo barabara na Dawa hospitalini usiulize zinakotokaukimhukumu mkosaji adhabu ya kufungwa miaka 300 maana yake nini wakati unajua muda wake wa kuishi hapa duniani haizidi miaka 130! Ni sawa na hizo adhabu unazosema. Halafu tunasema tumevuka malengo as if biashara zimezalisha kodi kumbe ni adhabu!
Dukuduku la nini??? Kwani kaongea uongo????Nape Bado anadukuduku hata msamaha alioomba ni kupisha shari
HahahaKaa kimyaa utumie hizo barabara na Dawa hospitalini usiulize zinakotoka
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ngoja nipaze sauti mabeberu nao wasikie, fiveeeee agaaaaaaain!
Asante sana mkuuUkishaharibu mfumo kwa jumla namna bora ya kutoka salama ni kutoongeza muda ili athari ya makosa yako akutane nayo mwenzie
Nyerere alipogundua kila kitu kinakufa akaona hakuna tena Mwanga kama hadi sabuni huwezi kupata mpaka ukimbizane na magari ya 'ugawaji' wiki nzima 'akang'atuka' akijua Gari linaenda halijojo,
Mzee Mwinyi akaingia na kufanya yasiyotegemewa, miaka ya mwanzo Nyerere akapiga Kimya akidhan mikakati ile isingefanikiwa…gari lilipochomolewa kwny tope likarudi kwny lami akaanza kelele zake z kusema Rushwa imetamalaki mara sijui Rais anashauriwa na Mkewe wakati maamuzi yote ya Nchi yanapitishwa kwny Cabinet na Minutes zilikuwepo
Athari ya kiuchumi na kikodi na lawama zake atabebeshwa Rais ajae kwa kuwa ndio ule ugumu na athari zitakuwa wazi mno
Mliambiwa na wapinzani mapema sana anguko kuu la CCM litatokana na Kodi kandamizi pamoja na ubambikiaji.Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema kuna changamoto kubwa ya biashara nyingi kufungwa na hili ni kutokana na Serikali kutotumia Wanataaluma katika kukusanya kodi.
Mafanikio yanayofurahiwa sasa kwenye mapato ni ya muda mfupi lakini itafika wakati hakutakuwa na cha kukusanya. Asema baadhi ya Wafanyabiashara wanatishwa kwa mashtaka ya Uhujumu #Uchumi hivyo huamua kufunga biashara.
Kuna sheria na common sense, na Mswahili hata asome sheria zote za dunia hii uwezo wa kutumia common sense ni zero.Swali la kujiuliza hivi wakusanya kodi wanakusanya kwa kutumia nini si sheria ndiyo wanayotumia na wanaotunga hizo sheria ni kina nani?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ukisoma sheria zinazosimamiwa na watoza kodi kila kitu kipo wazi wao kazi yao ni kufata sheria ilivyosema ndiyo maana wakienda nje ya utaratibu au matakwa ya sheria wanashitakiwa.
Watu wanaotetea huu uozo unaoendelea hawajui chochote.Hujui kitu. Nilibambikiwa kodi ya sh 400m. Baada ya kuikataa na kukata rufaa nikalipa 32m. Nayo yule mtu wa investigation alisema, anaomba nikubali kulipa japo kwa vielelezo vilivyopo, ilikuwa zero tax kwa sababu hakukuwa na capital gain. Lakini akasema kuwa akiweka hiyo zero tax, yeye na mimi, tutapata usumbufu mkubwa
Nikalipa, nikafunga biashara.