Nape: Ukusanyaji wa kodi ni taaluma ila Serikali imeacha kutumia wenye taaluma inatumia task force ambao kazi yao ni kuua biashara tu

Nape: Ukusanyaji wa kodi ni taaluma ila Serikali imeacha kutumia wenye taaluma inatumia task force ambao kazi yao ni kuua biashara tu

Tatizo ni yule bwege pale kwenye madhabahu ya bunge ndio yupo upande wa jiwe[emoji16][emoji16][emoji16]
Anaweza kutembeza mpera wa kamati ya Nidhamu!
Ishu ni mgomo /msimamo wa wabunge endapo watakuwa na msimamo wa upande mmoja hii itamsumbua sana
 
inaandaliwa database ya wadaiwa wote ukipita migration kugonga muhuri ndio inakua mwisho wa safari
Wanafikiri watasepa kizembe, hii serikali ya sasa inachonifurahisha ni kwenye ubunifu wa kutoa kibano kwa raia wako vizuri 😂😂😂!!!

Shida kubuni vyanzo halisi vya kujipatia mapato tu ndio wanayumba!
 
Siyo kweli,wanaokusanya kodi wanataaluma kabisa,tatizo hawafanyi kazi kwa uhuru kulingana na taaluma zao wanafanya kazi kwa shinikizo la mtu mmoja.
ni kweli wana taaluma ila wanakuja na polisi na bunduki na karandinga kukubeba usipotoa hela! baad ya hapo waakufungulia uhujumu uchumi kama ulitakiwa kodi ulipe 50M utalipa 400M kilazima
 
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema kuna changamoto kubwa ya biashara nyingi kufungwa na hili ni kutokana na Serikali kutotumia Wanataaluma katika kukusanya kodi.

Mafanikio yanayofurahiwa sasa kwenye mapato ni ya muda mfupi lakini itafika wakati hakutakuwa na cha kukusanya. Asema baadhi ya Wafanyabiashara wanatishwa kwa mashtaka ya Uhujumu #Uchumi hivyo huamua kufunga biashara.


Sema lioga likitishwa kidogo litakwenda Ikulu linalia
 
Mpaka sasa ile habari ya kuwa bunge hili litakuwa la "NDIYO MZEE" tayari imejibiwa!
 
Nape mzee wa goli la mkono wala asiwe na papara awe mpole tu hata asiwe na haraka haya ni mavuno ya kuwalazimisha watanzania kiongozi wasiemtaka
 
Kodi inatakiwa ukusanye kwa Nguvu wabongo hawaendi kwa barua utamaliza Rimu ya barua na hakuna kodi kubwa kodi nyingi ni adhabu watu wana default sheria za kodi
ukimhukumu mkosaji adhabu ya kufungwa miaka 300 maana yake nini wakati unajua muda wake wa kuishi hapa duniani haizidi miaka 130! Ni sawa na hizo adhabu unazosema. Halafu tunasema tumevuka malengo as if biashara zimezalisha kodi kumbe ni adhabu!
 
A aa aaa Nape kaka angu ''watch it out'' bado tunakuhitaji kwetu, mbona ww kama Chadema hivi. Ha ha ha nasema hivi MITANO TENA sauti imefika hukooo?
 
ukimhukumu mkosaji adhabu ya kufungwa miaka 300 maana yake nini wakati unajua muda wake wa kuishi hapa duniani haizidi miaka 130! Ni sawa na hizo adhabu unazosema. Halafu tunasema tumevuka malengo as if biashara zimezalisha kodi kumbe ni adhabu!
Kaa kimyaa utumie hizo barabara na Dawa hospitalini usiulize zinakotoka
 
Ukishaharibu mfumo kwa jumla namna bora ya kutoka salama ni kutoongeza muda ili athari ya makosa yako akutane nayo mwenzie

Nyerere alipogundua kila kitu kinakufa akaona hakuna tena Mwanga kama hadi sabuni huwezi kupata mpaka ukimbizane na magari ya 'ugawaji' wiki nzima 'akang'atuka' akijua Gari linaenda halijojo,

Mzee Mwinyi akaingia na kufanya yasiyotegemewa, miaka ya mwanzo Nyerere akapiga Kimya akidhan mikakati ile isingefanikiwa…gari lilipochomolewa kwny tope likarudi kwny lami akaanza kelele zake z kusema Rushwa imetamalaki mara sijui Rais anashauriwa na Mkewe wakati maamuzi yote ya Nchi yanapitishwa kwny Cabinet na Minutes zilikuwepo

Athari ya kiuchumi na kikodi na lawama zake atabebeshwa Rais ajae kwa kuwa ndio ule ugumu na athari zitakuwa wazi mno
Asante sana mkuu
 
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema kuna changamoto kubwa ya biashara nyingi kufungwa na hili ni kutokana na Serikali kutotumia Wanataaluma katika kukusanya kodi.

Mafanikio yanayofurahiwa sasa kwenye mapato ni ya muda mfupi lakini itafika wakati hakutakuwa na cha kukusanya. Asema baadhi ya Wafanyabiashara wanatishwa kwa mashtaka ya Uhujumu #Uchumi hivyo huamua kufunga biashara.


Mliambiwa na wapinzani mapema sana anguko kuu la CCM litatokana na Kodi kandamizi pamoja na ubambikiaji.
Sasa hivi POLICE,TISS&TRA wanashiriki kukandamiza wafanyabiashara na wawekezaji kwa muda,wakifilisika kama kukimbia watakusanya toka wapi?
 
Swali la kujiuliza hivi wakusanya kodi wanakusanya kwa kutumia nini si sheria ndiyo wanayotumia na wanaotunga hizo sheria ni kina nani?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Ukisoma sheria zinazosimamiwa na watoza kodi kila kitu kipo wazi wao kazi yao ni kufata sheria ilivyosema ndiyo maana wakienda nje ya utaratibu au matakwa ya sheria wanashitakiwa.
Kuna sheria na common sense, na Mswahili hata asome sheria zote za dunia hii uwezo wa kutumia common sense ni zero.
 
Hujui kitu. Nilibambikiwa kodi ya sh 400m. Baada ya kuikataa na kukata rufaa nikalipa 32m. Nayo yule mtu wa investigation alisema, anaomba nikubali kulipa japo kwa vielelezo vilivyopo, ilikuwa zero tax kwa sababu hakukuwa na capital gain. Lakini akasema kuwa akiweka hiyo zero tax, yeye na mimi, tutapata usumbufu mkubwa

Nikalipa, nikafunga biashara.
Watu wanaotetea huu uozo unaoendelea hawajui chochote.

Ramadhani Ntuzwe alifanyiwa uhuni na Watu wamepiga kimya.
 
Back
Top Bottom