Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekosoa ila hawajakataa uanzishwaji na uwepo wake. You don't have to worry boss. Je, ilikuwa ni muhimu saana hadi huyo ndugu aahirishe shughuli za kuwawakilisha walio wengi kwa ajili ya masuala ya mtu binafsi? Usijibu (nakuomba) ila tafakari boss!Wtz tucwe wanafiki,hmna kitu atafanya msanii bongo movie mkapongeza hta km kinastahili nyie ni kukosoa tuu na kunyumbu zinafata mkumbo akianza mmoja kucomment vbya bac yote yanafata hvyhvyo,huko marekani nani acyejua maisha ya kishenz ya familia ya kardashian lkn hawaachi kuwasapot kwa yle mazr wanayofanya wanaapp kibao apple lkn cc wtz tuna roho za kwnn mno mnaboa htr!!!!!
Kwani hao VIJANA walizunguka nchi nzima kuipigia KAMPENI CCM mwaka jana?!Kuna vijana wanadevelop app za maana hawapewi support bali mambo za kiduanzi wanazipa shavu sana
Nadhan umepata picha watanzania now walivyo serious.Apps ya maisha yake yapi and then what next ingekua ina faida kwa jamii poa bt ina direct impact na maisha yake binafsi mbona kina Faraja wanafanya makubwa yenye impact kwa jamii why not yeye .Big up for her success.Wtz tucwe wanafiki,hmna kitu atafanya msanii bongo movie mkapongeza hta km kinastahili nyie ni kukosoa tuu na kunyumbu zinafata mkumbo akianza mmoja kucomment vbya bac yote yanafata hvyhvyo,huko marekani nani acyejua maisha ya kishenz ya familia ya kardashian lkn hawaachi kuwasapot kwa yle mazr wanayofanya wanaapp kibao apple lkn cc wtz tuna roho za kwnn mno mnaboa htr!!!!!
umepotea gaflaaaaaaHii nyuzi pamoja na michango yenu imenichekesha sana, kicheko changu si kwamba nimefurahi LA hasha! [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Unaona ni haki Waziri kamili aache vikao vya bunge kwa ajili ya kwenda kuzindua app inayoelezea Maisha ya kucopy ya msanii tena ambae hata sio kioo cha jamii? Kweli wewe ni Zuzu katika mazuzu! Sio kila kitu unaweza kuchangia au unadhani huku ni Facebook?Wtz tucwe wanafiki,hmna kitu atafanya msanii bongo movie mkapongeza hta km kinastahili nyie ni kukosoa tuu na kunyumbu zinafata mkumbo akianza mmoja kucomment vbya bac yote yanafata hvyhvyo,huko marekani nani acyejua maisha ya kishenz ya familia ya kardashian lkn hawaachi kuwasapot kwa yle mazr wanayofanya wanaapp kibao apple lkn cc wtz tuna roho za kwnn mno mnaboa htr!!!!!
Kwa huyo haonekani hata kiongozi mmoja wa serikaliHii nchi ni maajabu kila kukicha,,,ivi yule aliyetengeneza Gari,,toka wilaya ya mbinga yupo wap
Na wewe ni wale wale, shughuli za bunge na wema kipi bora?Wtz tucwe wanafiki,hmna kitu atafanya msanii bongo movie mkapongeza hta km kinastahili nyie ni kukosoa tuu na kunyumbu zinafata mkumbo akianza mmoja kucomment vbya bac yote yanafata hvyhvyo,huko marekani nani acyejua maisha ya kishenz ya familia ya kardashian lkn hawaachi kuwasapot kwa yle mazr wanayofanya wanaapp kibao apple lkn cc wtz tuna roho za kwnn mno mnaboa htr!!!!!