Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

Wtz tucwe wanafiki,hmna kitu atafanya msanii bongo movie mkapongeza hta km kinastahili nyie ni kukosoa tuu na kunyumbu zinafata mkumbo akianza mmoja kucomment vbya bac yote yanafata hvyhvyo,huko marekani nani acyejua maisha ya kishenz ya familia ya kardashian lkn hawaachi kuwasapot kwa yle mazr wanayofanya wanaapp kibao apple lkn cc wtz tuna roho za kwnn mno mnaboa htr!!!!!
Umeshasema hiii ni TZ sio marekani ni TZ ndugu ni third world country usilinganishe tunatakiwa tu focus mambo ya maendeleo sasa ikiwa viongozi wenywe wana ignore mambo ya maana what do you expect??? lazima tuwe disappointed nao....wake up bado umelala??
 
Dah nimecheka sana! Nape hapa umedema shekhe, yani umejipiga tobo kabisa...

Umeenda kuzindua app????[emoji15]
Alafu eti app ya kutupatia habari zake??? Habari gani??? Mimba feki, lipstiki, wema vs zari, idrisa au kitu gani????

Dah kweli hii ndio Tanzania ya viwanda tuliyokuwa tunaisubiri.. [emoji23]
 
Bora hata yule anayeenda Bungeni akiwa na hangover kuliko huyu anayechoma mafuta ya gari, posho yake na dereva pamoja na msaidizi eti kwenda kwenye shughuli ya kikazi ya mtu kuzindua application yake ya simu ambayo nina hakika itakuwa yakuhusu mambo ya kijinga.
Sasa sio kuwa Kitwanga ndio mlevi bali serikali yenyewe ndio imelewa.
 
Dah nimecheka sana! Nape hapa umedema shekhe, yani umejipiga tobo kabisa...

Umeenda kuzindua app????[emoji15]
Alafu eti app ya kutupatia habari zake??? Habari gani??? Mimba feki, lipstiki, wema vs zari, idrisa au kitu gani????

Dah kweli hii ndio Tanzania ya viwanda tuliyokuwa tunaisubiri.. [emoji23]

Hivyo viwanda tutasubiri hadi tutoke mabusha.
 
juzi nilimuona January na nape jembeka festival alafu wanasema mawaziri wenu tunakesha apa
 
Nadhan umepata picha watanzania now walivyo serious.Apps ya maisha yake yapi and then what next ingekua ina faida kwa jamii poa bt ina direct impact na maisha yake binafsi mbona kina Faraja wanafanya makubwa yenye impact kwa jamii why not yeye .Big up for her success.
Akiweka zile Picha zake za masingiri kwenye App yake atapata wateja wengi.
 
Yaani umeghairi kwenda bungeni ili ukashiriki kwenye uzinduzi wa app ambayo inaelezeaa maisha yamtu tuu can't believe this is still a leader hapa magu ajicheki tena maana hawamawaziri wake hamnazo sasa app ya kuonesha lifestyle fake yamtu itasaidia nn watanzania
Ndio maana anafanya kazi mwenyewe.....naona hata yeye hawaamini hawa jamaa,SMHD,ingawa kawachagua.
 
Back
Top Bottom