Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

Mkumbuke pia huyu Sepenga alikuwa kiongozi wa kampeni ya "Mama ongea na mwanao"

Ila amejazia hatari. Nikijatoboa lazima nimpindue mtoto wa Sultan, nije nionje kilichokuwa kinamkamatisha Simba zamani...
 
Wamekosoa ila hawajakataa uanzishwaji na uwepo wake. You don't have to worry boss. Je, ilikuwa ni muhimu saana hadi huyo ndugu aahirishe shughuli za kuwawakilisha walio wengi kwa ajili ya masuala ya mtu binafsi? Usijibu (nakuomba) ila tafakari boss!

Wallahi kama atajibu bila povu namlipia u-premium membership wa jf

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Wamekosoa ila hawajakataa uanzishwaji na uwepo wake. You don't have to worry boss. Je, ilikuwa ni muhimu saana hadi huyo ndugu aahirishe shughuli za kuwawakilisha walio wengi kwa ajili ya masuala ya mtu binafsi? Usijibu (nakuomba) ila tafakari boss!
Hahah
Hii ndio nchi ya viwanda mawaziri tena Waziri kamili anaenda kuzindua app ya wema! Kuna vijana wanadevelop app za kutatua matatizo ya wananchi ya kila siku na nyingine za kutatua umaskini wetu lakini wanakuja kupewa promo watu na app za kipuuzi. Tanzania haiwezi kupiga hatua kwa kuwa na mawaziri wa aina hii
well said sijui kwanini
 
Hahah

well said sijui kwanini
Nikianza kilio cha '' hamasa '' watu watasema nadeka. Mwanazuoni Jenerali Ulimwenguni (2005)aliwahi andika.... '' kitu kikikufurahisha au kukununisha lazima uoneshe muitikio wa aidha, kucheka, kununa au kuzubaa.. '' Rai la Enzi zile.
 
Huyu Waziri ni Jipu!! Application nayo ni kitu cha waziri kuzindua wakati IT guyz wanatengeneza na kuuza au kusaidia buree!!

How Productive is it to the Country? Ama kweli IQ ya Mtanzania ni very very narrow.
 
1464019966130.jpg


Tuache utani, wema kajaaliwa "tamanio" jamani!
 
Back
Top Bottom