Iwe tinkumanya [emoji16][emoji16]Hahaha mukodomi gwo abade tamanyile! Nze njagala katerero nyo nyo nyoooo!
Hahaha inye ni mukodomi gwo! Mushaija wange niwanyu!Iwe tinkumanya [emoji16][emoji16]
Dah!!Hahaha inye ni mukodomi gwo! Mushaija wange niwanyu!
Wabaki si???Dah!!
Doh pole sana. Mi nashukuru Mungu wangu hana zile mambo na tabia zakihaya kabisa kama mzungu vile mpaka najisemea nhiii! Huyu muhaya wawapi doh!Ninezaa na mhaya pia , nimemtwlwkwza yy na mtoto wake sababu ya makelele, ni wa misenyi pia. Nishaambiwa na mtoto amekufa na baadae baada ya mwezi akafufuka anaomba matumizi ya mtoto
TindabakanziWabaki si???
Sema Huna hela
Hela zipi unazosema wewe unayajua maisha yangu
Maelezo yako tu yanaonekana umejaa uchungu na ghilba
๐๐๐....mmoja kachoka, mwingine ndio kwanzaaa kaanza.Wew nenda kaoe mkuu ila ucje kuleta Uzi wa ulalamishi baada ya mda mfupi
๐๐๐๐๐๐๐Uwe unanionea huruma kidogo doh! Kazi kaazii Mwanzo mwisho mhm! Nahiyo color yako inanipa stimu balaaa!
Unaonekana una chuki binafc na haiwez kukusaidia kama mwanaumeWew nenda kaoe mkuu ila ucje kuleta Uzi wa ulalamishi baada ya mda mfupi
I feel it babe welcome anyday anytime๐๐๐๐๐. ( Deep one)๐๐๐๐๐๐๐
Tafuta pesa timiza majukumu yako uone kama heshima haikujiNimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
Nasimamia majukumu yngu ipasavyoTafuta pesa timiza majukumu yako uone kama heshima haikuji
Chuki binafs Tena imetokea wapUnaonekana una chuki binafc na haiwez kukusaidia kama mwanaume
Muache aanze[emoji23][emoji23][emoji23]....mmoja kachoka, mwingine ndio kwanzaaa kaanza.
Kuna watu hawataki kuelewa mkuu, ukieleza hizo changamoto za hao watu wanakwambia tafuta pesaNinezaa na mhaya pia , nimemtwlwkwza yy na mtoto wake sababu ya makelele, ni wa misenyi pia. Nishaambiwa na mtoto amekufa na baadae baada ya mwezi akafufuka anaomba matumizi ya mtoto
[emoji16][emoji16] tuliogonga mwamba huko tunawaambia ila jamaa wabishi sana.Sasa sisi kama mabahari tuliokiona cha moto kutoka kwa madada wa huko uhayani tunasema,"Mtoto akililia nyembe mpe".๐๐๐ ๐๐ซ๐ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐๐ ๐๐ซ๐, ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ก, ๐ง๐ข ๐ฌ๐ฐ๐๐ฅ๐ ๐ฅ๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐๐ข๐ซ๐ข ๐ฆ๐๐ ๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐๐ ๐ข๐ฅ๐ ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ฉ๐๐ฌ๐ ๐ง๐ข๐๐จ๐ซ๐ ๐ฎ๐ง๐ ๐๐ณ๐ข๐ฐ๐๐ค๐๐ณ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐จ ๐๐ก๐ ๐ฆ๐๐ญ๐ข๐ค๐ข๐ญ๐ข ๐ก๐ฎ๐๐ง๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐ฒ๐ ๐ฆ๐๐ ๐ฎ๐ง๐ ๐๐ฏ๐ฎ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐จ๐ง๐ข ๐ฒ๐ ๐ฉ๐๐ฌ๐ ๐ฆ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ฎ๐ค๐๐ฐ๐ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ค๐จ ๐ญ๐ฎ
Kausha kila mtu apambane na hali yake[emoji16][emoji16] tuliogonga mwamba huko tunawaambia ila jamaa wabishi sana.Sasa sisi kama mabahari tuliokiona cha moto kutoka kwa madada wa huko uhayani tunasema,"Mtoto akililia nyembe mpe".