Napeleka Mahari Missenyi, Kagera!

Ninezaa na mhaya pia , nimemtwlwkwza yy na mtoto wake sababu ya makelele, ni wa misenyi pia. Nishaambiwa na mtoto amekufa na baadae baada ya mwezi akafufuka anaomba matumizi ya mtoto
Doh pole sana. Mi nashukuru Mungu wangu hana zile mambo na tabia zakihaya kabisa kama mzungu vile mpaka najisemea nhiii! Huyu muhaya wawapi doh!
 
Uwe unanionea huruma kidogo doh! Kazi kaazii Mwanzo mwisho mhm! Nahiyo color yako inanipa stimu balaaa!
๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜
 
๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜
I feel it babe welcome anyday anytime๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹. ( Deep one)
 
Nimezaa na binti wa kihaya ni msumbufu Sana Hana adabu ata chembe hajui ata maana ya mama mkwe ni nini kiukwel cna malengo nae yeyot Kuna mda tu naisubil ufike Kila mtu ashike hamsini zake
Tafuta pesa timiza majukumu yako uone kama heshima haikuji
 
Ninezaa na mhaya pia , nimemtwlwkwza yy na mtoto wake sababu ya makelele, ni wa misenyi pia. Nishaambiwa na mtoto amekufa na baadae baada ya mwezi akafufuka anaomba matumizi ya mtoto
Kuna watu hawataki kuelewa mkuu, ukieleza hizo changamoto za hao watu wanakwambia tafuta pesa
 
๐Š๐š๐ ๐ž๐ซ๐š ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐Š๐š๐ ๐ž๐ซ๐š, ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ก, ๐ง๐ข ๐ฌ๐ฐ๐š๐ฅ๐š ๐ฅ๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐›๐ข๐ซ๐ข ๐ฆ๐๐š ๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ž ๐ข๐ฅ๐š ๐ก๐ข๐ณ๐จ ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š ๐ง๐ข๐›๐จ๐ซ๐š ๐ฎ๐ง๐ ๐ž๐ณ๐ข๐ฐ๐ž๐ค๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ค๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐จ ๐œ๐ก๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐ค๐ข๐ญ๐ข ๐ก๐ฎ๐ž๐ง๐๐š ๐›๐š๐š๐๐š ๐ฒ๐š ๐ฆ๐๐š ๐ฎ๐ง๐ ๐ž๐ฏ๐ฎ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐จ๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ฉ๐ž๐ฌ๐š ๐ฆ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฎ๐ค๐š๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ค๐จ ๐ญ๐ฎ
 
[emoji16][emoji16] tuliogonga mwamba huko tunawaambia ila jamaa wabishi sana.Sasa sisi kama mabahari tuliokiona cha moto kutoka kwa madada wa huko uhayani tunasema,"Mtoto akililia nyembe mpe".
 
[emoji16][emoji16] tuliogonga mwamba huko tunawaambia ila jamaa wabishi sana.Sasa sisi kama mabahari tuliokiona cha moto kutoka kwa madada wa huko uhayani tunasema,"Mtoto akililia nyembe mpe".
Kausha kila mtu apambane na hali yake
 
Uhayani ukimpata anayemjua Mungu utaenjoy,lakini pia hawapendi shida ila wanaakili ya kumake life,huwezi kukaa na binti wa kihaya 5 years hamjajenga nyumba ya kuishi vinginevyo mtagombana bure,baada ya nyumba gari hufuatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ