Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Wewe Ni mtu hasi umetawaliwa na negativity TU.
Ila mbona wachaga ndio wanaongozwa kwa kuolewa?Kiufupi mie katika makabila yoote ya kanda ya kaskazini (wachaga, wapare, wameru, wamaasai, wamburu, wairaq,)...ni kabila moja tu ndo naweza shauri mtu akaoe huko nao ni wamaasai pekee.....hawa watu nimeishi nao sana na wanawake wa kimaasai wana mapenzi ya dhati yasiyoangalia mali anazomiliki mwanaume na ni wavumilivu sana katika ndoa.
Ukimpata msichana wa kimaasai mkapendana wewe mwenyewe utaenjoy....sio hizo mbwa za hayo makabila mengine!!!
Kiufupi nimeishi kaskazini miaka takribani 17...hivyo nawafahamu fika watu wa huko. Wanawake wa kaskazini ni Malaya sana and they date and fuuck for money. Ukiwa na pesa mambo yataenda vizuri ila ukifirisika hakuna rangi utaacha ona!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapare unawajua?Baadae akihangamia hamtakuwepo mtakuwa kwenye ndoa zenu mnakula raha ,baadae akileta Uzi wa matatizo ya ndoa yake wengine mtaishia kucheka
Mi wapare nawajua in and out Bora kuwa real kusema ukweli hata kama kita offend mtu kuliko kuwa mnafiki
Aoe kabila gani?Unaoa mpare, pole sana
Atuoe sisi WachagaAoe kabila gani?
Yani kumbe we mchaga unawacheka wapare?Atuoe sisi Wachaga
Husitusumbue, sasa unatuambia ili iweje sheikh?Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato. Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica.
Mwanangu we hujui tu.Acheni kukatisha tamaa, mbona hata mimi nimeoa Mpare mwaka wa saba huu na twaishi bila shida?Chagua mke mcha mungu utaifurahia ndoa yako vzr
Unaowazungumzia wewe watakuwa niwapare wa galilaya.Mi mpare ila hizi tabia za hawa wapare mnazioneaga wapi?
Wapare Ninaowajua wengi wamekula kitabu sana na wasabato wa kufa mtu
safi sana mkuu hongeraWakuu tumerudi salama. Vikao vinaanza rasmi tarehe 03 Dua zizidi
Galilaya ni wapiUnaowazungumzia wewe watakuwa niwapare wa galilaya.
Aisee vikao vinafanyikia wapi wama JF tuje?Wakuu tumerudi salama. Vikao vinaanza rasmi tarehe 03 Dua zizidi
Wacha porojoWewe hauwezi jua mapungufu ya dada zako kaa utulie, mie mwenyewe mapungufu ya dada zangu siya fahamu.
Wadada wa kipare wakisikia fulani anapiga mashine sana, wanataka wajaribu wahakikishe....sasa uhuni hawawezi kufanya mbele yenu baadhi yao.
sasa warombo ni wapare?Hayo maoni yako mkuu, mie naongea kitu nilicho kishuhudia....jamaa mmoja kaoa mpare na mwingine kaoa mrombo.
1. Aliyeoa mpare tunapoongea hapa demu kakimbia kaacha jamaa anazeeka tuu, huyu simtaji jina alikua mtu wa kati sana katika biashara za wakubwa, wakati wa Mzee wa Msoga.
2. Jamaa alioa mrombo bata sana, baadae upepo ukayumba, alikaa benchi miaka mitano, akawa mlevi full of stress ila mkewe hadi vibarua alifanya ili maisha yaendelee, sasa hivi amemnunulia mkewe mashine ya kufyatua tofali ya kisasa kama asante.
Naunga mkono hoja hawa warombo kiukweli wapo powa sana uwezi fananisha na wengine wana staa kidogo kwenye ndoaHayo maoni yako mkuu, mie naongea kitu nilicho kishuhudia....jamaa mmoja kaoa mpare na mwingine kaoa mrombo.
1. Aliyeoa mpare tunapoongea hapa demu kakimbia kaacha jamaa anazeeka tuu, huyu simtaji jina alikua mtu wa kati sana katika biashara za wakubwa, wakati wa Mzee wa Msoga.
2. Jamaa alioa mrombo bata sana, baadae upepo ukayumba, alikaa benchi miaka mitano, akawa mlevi full of stress ila mkewe hadi vibarua alifanya ili maisha yaendelee, sasa hivi amemnunulia mkewe mashine ya kufyatua tofali ya kisasa kama asante.
Ahahahah we jamaa umeona mchango huo tuu basi.sasa warombo ni wapare?
Inawezekana tunaelewesha watu ambao hawajui wapare wanatokea wapi.
Anajua labda wanatokea karagwe au kisimundu
Ofisi za Jimbo Kuu la Dar es Salaam - Msimbazi Centre,. Kitimoto kitakuwepoAisee vikao vinafanyikia wapi wama JF tuje?