Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
mimi pia nipo hapa kiongozi especially round face aaiiiiiHapo kwangu naona kama kipango tu! 😅😅😅 i need thick thighs, thick sexy lips and a roundy face for me to feed up! Mwanamke mwenye lips flani kama hizi ndio kiboko yangu jamani!
View attachment 1819773View attachment 1819774
Akishakuwa hivi mie tayari nampenda, ndio flava yangu hii
wivu.Nasikiaga wanakuwa na bonde la ufa pale kati.
na nyonyo kubwa ka papaiMange kimambi ana thigh gap??
Mpeleke gym mkuu, wapo wataalamu wa kuweka hii👆👆Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.
Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama😊.
Wewe pia unavutiwa?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Alahamdulilahi astakafilali laamina bin muamali gadaf ,Mimi
WIvu wa nini tena jamaniwivu.
Hahah kama ka Lulu Michael kanashawishimimi pia nipo hapa kiongozi especially round face aaiiiii
mkuu ndio maana hata majay hajawaza habari za kusukumwa afe 😂😂 kajitoa kimaso masoHahah kama ka Lulu Michael kanashawishi
Watoto round face upate ana kajicho wanakuwaga noma sanamkuu ndio maana hata majay hajawaza habari za kusukumwa afe 😂😂 kajitoa kimaso maso
Wanaume tusamehewe!The world of superficiality mindset !
The world of adulterers and fornicators. Mawazo ya uzinzi na uasherati yamewajaa ndiyo maana mnatamani tamani hovyo.
Leo utakutana na msichana mwenye thigh gap utamtamani, kesho utakutana na mwenye dimples utamtamani, kesho kutwa utakutana na mwenye lips pana utamtamani, mwingine utakutana naye ana umbo la hourglass utamtamani, mwenye macho makubwa ya mviringo utamtamani, mwenye macho ya kusinzia utamtamani........
Bahati mbaya sana huwezi ukampata mwenye kila sifa, utampata ana sifa hii lakini nyingine hana. Sasa utatamani wangapi? Utatamani mpaka lini?
Iko hivi,
Ukitaka kufurahia maisha yako basi mpende mtu kwa sababu mnaelewana na siyo sababu ya muonekano wake.
Hiki ni kitu tofauti na anachoelezea mleta mada.Inaitwa intergluteal cleft.. mara nyingi huwa wanazo wanawake wembamba.
Mimi pia ni ugonjwa wangu huo japo hauzidi ule wa dimples za makalio, nikiziona basi wachaga wapo njiani[emoji16]View attachment 1813384
umeona eeh, ila ME libido zao zikipanda hawachagui, hata kama umevaa dera, wanakushusha.Teh japo mi sio mtumiaji wa hizo, ila sijawahi kuvipenda, mi hata ke akiwa mwembamba yani dizaini ya wema sahivi ningekua me nisingetumia. Teh
Tukisikiaa hivi tunafarijikaaa😊😊mimi pia nipo hapa kiongozi especially round face aaiiiii
tunawapenda sana wallahi 😛😛Tukisikiaa hivi tunafarijikaaa😊😊
Weka picha mkuuKuna mmoja yuko pale ushirika tower hakika hutajuta ukimuona..
Njoo pm nikuelekeze..