Napenda akiwa na uwazi katikati, huwa navutiwa sana

Napenda akiwa na uwazi katikati, huwa navutiwa sana

The world of superficiality mindset !
The world of adulterers and fornicators. Mawazo ya uzinzi na uasherati yamewajaa ndiyo maana mnatamani tamani hovyo.

Leo utakutana na msichana mwenye thigh gap utamtamani, kesho utakutana na mwenye dimples utamtamani, kesho kutwa utakutana na mwenye lips pana utamtamani, mwingine utakutana naye ana umbo la hourglass utamtamani, mwenye macho makubwa ya mviringo utamtamani, mwenye macho ya kusinzia utamtamani........

Bahati mbaya sana huwezi ukampata mwenye kila sifa, utampata ana sifa hii lakini nyingine hana. Sasa utatamani wangapi? Utatamani mpaka lini?

Iko hivi,
Ukitaka kufurahia maisha yako basi mpende mtu kwa sababu mnaelewana na siyo sababu ya muonekano wake.
Nadhani usiwafundishe watu waishije,

Wanaotamani tamani leo uvungu, kesho dimpo takoni, kesho kutwa tako mbinue endeleeni kutamani tu na mjue na gharama yake

Wanaoamini ktk kuoana sijui kuelewana sijui tabia endeleeni tu haina shida na mjue mnavyovikosa

Walochagua pisi moja ya maisha yao lkn mechi za ugenini kama kawa, haya endeleeni

Wanaofikiri ni watakatifu wanae mmoja wakaona wengi ni uchafu, poa endeleeni na nyinyi

Walotendwa wakakoma wakahamia kwenye pornhub na nyeto, wanaona wanajipa self love haya na nyinyi continue

Wanaoogopa kutongoza madem wakali kisa wanaona hawaendani haya endeleeni kula kwa macho

Fanya unachoona sawa, ukichoka acha fanya kingine ila jua GHARAMA YAKE!
 
Hapo kwangu naona kama kipango tu! 😅😅😅 i need thick thighs, thick sexy lips and a roundy face for me to feed up! Mwanamke mwenye lips flani kama hizi ndio kiboko yangu jamani!
FB8C7D2D-19D9-4BE6-A8F7-D777AA1F7647.jpeg
67E9F354-BE77-4130-B1F8-59A245D702D2.jpeg


Akishakuwa hivi mie tayari nampenda, ndio flava yangu hii
 
Ndugu zangu

Mwanamke akiwa chubby fulani hivi amaizing

Halafu akawa na matege fulani hivi ya kuingia ndani maeneo ya kwenye magoti...

Basi huyo ana siti special kabisa kwenye moyo wangu
 
Tuliuita UPENYO,

Ila sijawasau wale wenye kikengeza cha mbaaali, hunivutia sana wale,
 
Back
Top Bottom