Napenda akiwa na uwazi katikati, huwa navutiwa sana

Napenda akiwa na uwazi katikati, huwa navutiwa sana

Yani nyie shida yenu ni kutuona tukiteseka tu hakuna kingine 🤣🤣🤣
Maana tabia hamtobadilisha😔😔
Yaani na hapa tulipofikia tumejitaidi sana.tuombeeni tupige hatua nyingine.wenyew hatupendi kutamani hovyo ni vile iko nje ya uwezo wetu
 
Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.

Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama[emoji4].

Wewe pia unavutiwa?

Mmmm! wewe ugonjwa wako ni wakupenda wagonjwa wa vilema va MATEGE.
 
Ukitaka kufurahia maisha yako basi mpende mtu kwa sababu mnaelewana na siyo sababu ya muonekano wake.
Ni ngumu sana kumpenda mtu sababu mnaelewana,upendo huu haupo sababu,huanza upendo kwanza kwa zile sifa anuai kisha maelewano hufata.

Kadhalika maelewano ya kimahusiano hutengenezwa,ila maumbileya asili ambayo ni mapambo haya yapo na ndiyo huwa yanaanza kumvutia mtu kwanza kisha mengine hufata.
 
Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.

Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama[emoji4].

Wewe pia unavutiwa?

Space iliyonzuri ni kama hii....
20210610_091237.jpg
 
Back
Top Bottom