Napenda akiwa na uwazi katikati, huwa navutiwa sana

Napenda akiwa na uwazi katikati, huwa navutiwa sana

Ni ngumu sana kumpenda mtu sababu mnaelewana,upendo huu haupo sababu,huanza upendo kwanza kwa zile sifa anuai kisha maelewano hufata.

Kadhalika maelewano ya kimahusiano hutengenezwa,ila maumbileya asili ambayo ni mapambo haya yapo na ndiyo huwa yanaanza kumvutia mtu kwanza kisha mengine hufata.
Hapana nakataa kabisa. Upendo huwa unajengwa kwa maelewano kwanza. Msichana anaweza akawa hana sifa za uzuri wowote lakini katika maelewano kati yenu ukazaliwa upendo wa dhati. Huo ndiyo upendo ninaousema.

Ukivutiwa na mtu kisa muonekano wake kisha ukaanza naye maelewano na kumshawishi awe wako hapo kutakuwa hakuna upendo wa dhati bali ni tamaa tu ya muonekano wa yule mtu.

Lakini hata kama mtu ana muonekano mzuri kitu cha kuwaunganisha kinapaswa kuwa maelewano na siyo "muonekano".

Elewa kwamba kuna wanaume wanamfuata msichana fulani sababu tu ni mzuri wa sura au umbo. Hapo hakuna upendo ni tamaa ya mwili.

Au utaona wasichana wanamfuata mwanaume fulani sababu ya urefu wake au uhandsome wake. Hapo pia hakuna upendo bali ni tamaa za mwili.

Aina hii ya mahusiano yanayojengwa juu ya misingi ya tamaa za mwili huwa hayadumu. Baada ya muda tamaa zikiisha na mahusiano huvunjika pia. Na ndiyo maana utaona matukio ya watu kuachana ni mengi sana.

Narudia tena, usimpende mtu sababu anakuvutia kwenye macho, bali mpende mtu sababu mnaelewana na kusikilizana kwa dhati ya moyoni. Tamaa ya macho ni ya nje bali nia ya moyo ni ya ndani.
 
Hapana nakataa kabisa. Upendo huwa unajengwa kwa maelewano kwanza. Msichana anaweza akawa hana sifa za uzuri wowote lakini katika maelewano kati yenu ukazaliwa upendo wa dhati. Huo ndiyo upendo ninaousema.

Ukivutiwa na mtu kisa muonekano wake kisha ukaanza naye maelewano na kumshawishi awe wako hapo kutakuwa hakuna upendo wa dhati bali ni tamaa tu ya muonekano wa yule mtu.

Lakini hata kama mtu ana muonekano mzuri kitu cha kuwaunganisha kinapaswa kuwa maelewano na siyo "muonekano".

Elewa kwamba kuna wanaume wanamfuata msichana fulani sababu tu ni mzuri wa sura au umbo. Hapo hakuna upendo ni tamaa ya mwili.

Au utaona wasichana wanamfuata mwanaume fulani sababu ya urefu wake au uhandsome wake. Hapo pia hakuna upendo bali ni tamaa za mwili.

Aina hii ya mahusiano yanayojengwa juu ya misingi ya tamaa za mwili huwa hayadumu. Baada ya muda tamaa zikiisha na mahusiano huvunjika pia. Na ndiyo maana utaona matukio ya watu kuachana ni mengi sana.

Narudia tena, usimpende mtu sababu anakuvutia kwenye macho, bali mpende mtu sababu mnaelewana na kusikilizana kwa dhati ya moyoni. Tamaa ya macho ni ya nje bali nia ya moyo ni ya ndani.
Poa.
 
Sasa ivi ntakua naangalia hako kaupenyo kwanza inaonekana ukiwa naye huyo haununui mara kwa mara ch*pi mana kuna wengne wamebanana sana wanamaliza pichu tu
 
Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.

Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama😊.

Wewe pia unavutiwa?

Astaghafulah!
Mjue jf ni zaid ya burudani.
 
Hapana nakataa kabisa. Upendo huwa unajengwa kwa maelewano kwanza. Msichana anaweza akawa hana sifa za uzuri wowote lakini katika maelewano kati yenu ukazaliwa upendo wa dhati. Huo ndiyo upendo ninaousema.

Ukivutiwa na mtu kisa muonekano wake kisha ukaanza naye maelewano na kumshawishi awe wako hapo kutakuwa hakuna upendo wa dhati bali ni tamaa tu ya muonekano wa yule mtu.

Lakini hata kama mtu ana muonekano mzuri kitu cha kuwaunganisha kinapaswa kuwa maelewano na siyo "muonekano".

Elewa kwamba kuna wanaume wanamfuata msichana fulani sababu tu ni mzuri wa sura au umbo. Hapo hakuna upendo ni tamaa ya mwili.

Au utaona wasichana wanamfuata mwanaume fulani sababu ya urefu wake au uhandsome wake. Hapo pia hakuna upendo bali ni tamaa za mwili.

Aina hii ya mahusiano yanayojengwa juu ya misingi ya tamaa za mwili huwa hayadumu. Baada ya muda tamaa zikiisha na mahusiano huvunjika pia. Na ndiyo maana utaona matukio ya watu kuachana ni mengi sana.

Narudia tena, usimpende mtu sababu anakuvutia kwenye macho, bali mpende mtu sababu mnaelewana na kusikilizana kwa dhati ya moyoni. Tamaa ya macho ni ya nje bali nia ya moyo ni ya ndani.
Inaandika kitu ambacho hakina uhalisia
 
Back
Top Bottom