Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Acha kuwaharibia wenzio.Nasikiaga wanakuwa na bonde la ufa pale kati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuwaharibia wenzio.Nasikiaga wanakuwa na bonde la ufa pale kati.
Sio case zote,, zipo tofauti mkuuMrefu
Kila mtu na akipendacho, mimi napenda sana femu mwenye utosi unaodunda.Dah sasa hizo huwa unazifanyia nini mkuu? Kuna vitu vinafurahisha mara uwazi mara dimples za kiuno😂🙌
Ahaaaa kumbee...pamoja sana Chief 🥂Acha kuwaharibia wenzio.
Hapana nakataa kabisa. Upendo huwa unajengwa kwa maelewano kwanza. Msichana anaweza akawa hana sifa za uzuri wowote lakini katika maelewano kati yenu ukazaliwa upendo wa dhati. Huo ndiyo upendo ninaousema.Ni ngumu sana kumpenda mtu sababu mnaelewana,upendo huu haupo sababu,huanza upendo kwanza kwa zile sifa anuai kisha maelewano hufata.
Kadhalika maelewano ya kimahusiano hutengenezwa,ila maumbileya asili ambayo ni mapambo haya yapo na ndiyo huwa yanaanza kumvutia mtu kwanza kisha mengine hufata.
Poa.Hapana nakataa kabisa. Upendo huwa unajengwa kwa maelewano kwanza. Msichana anaweza akawa hana sifa za uzuri wowote lakini katika maelewano kati yenu ukazaliwa upendo wa dhati. Huo ndiyo upendo ninaousema.
Ukivutiwa na mtu kisa muonekano wake kisha ukaanza naye maelewano na kumshawishi awe wako hapo kutakuwa hakuna upendo wa dhati bali ni tamaa tu ya muonekano wa yule mtu.
Lakini hata kama mtu ana muonekano mzuri kitu cha kuwaunganisha kinapaswa kuwa maelewano na siyo "muonekano".
Elewa kwamba kuna wanaume wanamfuata msichana fulani sababu tu ni mzuri wa sura au umbo. Hapo hakuna upendo ni tamaa ya mwili.
Au utaona wasichana wanamfuata mwanaume fulani sababu ya urefu wake au uhandsome wake. Hapo pia hakuna upendo bali ni tamaa za mwili.
Aina hii ya mahusiano yanayojengwa juu ya misingi ya tamaa za mwili huwa hayadumu. Baada ya muda tamaa zikiisha na mahusiano huvunjika pia. Na ndiyo maana utaona matukio ya watu kuachana ni mengi sana.
Narudia tena, usimpende mtu sababu anakuvutia kwenye macho, bali mpende mtu sababu mnaelewana na kusikilizana kwa dhati ya moyoni. Tamaa ya macho ni ya nje bali nia ya moyo ni ya ndani.
Tumerudishwa juzi kisa corona, M7 huyo
Astaghafulah!Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.
Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama😊.
Wewe pia unavutiwa?
manzi kavaa dera utaonea wapi uwazi?Sasa ivi ntakua naangalia hako kaupenyo kwanza inaonekana ukiwa naye huyo haununui mara kwa mara ch*pi mana kuna wengne wamebanana sana wanamaliza pichu tu
Ukikaa uelekeo wa mwanga unaonaa mkuumanzi kavaa dera utaonea wapi uwazi?
Ukiwa na matege tu basi anao uwazimanzi kavaa dera utaonea wapi uwazi?
Ila wanaume jamani mnatuchunguza sana, sasa huo uwazi unasaidia nini?Ukiwa na matege tu basi anao uwazi
Unazidisha mizuka tu...yan mfano umenyanyuka ukasimama...nikauona ule uzawa..hata kama nilikua nmelala nitaamka [emoji3]Ila wanaume jamani mnatuchunguza sana, sasa huo uwazi unasaidia nini?
una uhusiano wowote na sex?
Inaandika kitu ambacho hakina uhalisiaHapana nakataa kabisa. Upendo huwa unajengwa kwa maelewano kwanza. Msichana anaweza akawa hana sifa za uzuri wowote lakini katika maelewano kati yenu ukazaliwa upendo wa dhati. Huo ndiyo upendo ninaousema.
Ukivutiwa na mtu kisa muonekano wake kisha ukaanza naye maelewano na kumshawishi awe wako hapo kutakuwa hakuna upendo wa dhati bali ni tamaa tu ya muonekano wa yule mtu.
Lakini hata kama mtu ana muonekano mzuri kitu cha kuwaunganisha kinapaswa kuwa maelewano na siyo "muonekano".
Elewa kwamba kuna wanaume wanamfuata msichana fulani sababu tu ni mzuri wa sura au umbo. Hapo hakuna upendo ni tamaa ya mwili.
Au utaona wasichana wanamfuata mwanaume fulani sababu ya urefu wake au uhandsome wake. Hapo pia hakuna upendo bali ni tamaa za mwili.
Aina hii ya mahusiano yanayojengwa juu ya misingi ya tamaa za mwili huwa hayadumu. Baada ya muda tamaa zikiisha na mahusiano huvunjika pia. Na ndiyo maana utaona matukio ya watu kuachana ni mengi sana.
Narudia tena, usimpende mtu sababu anakuvutia kwenye macho, bali mpende mtu sababu mnaelewana na kusikilizana kwa dhati ya moyoni. Tamaa ya macho ni ya nje bali nia ya moyo ni ya ndani.
Kisu[emoji12]Space iliyonzuri ni kama hii....View attachment 1813841
Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.
Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama😊.
Wewe pia unavutiwa?
Teh japo mi sio mtumiaji wa hizo, ila sijawahi kuvipenda, mi hata ke akiwa mwembamba yani dizaini ya wema sahivi ningekua me nisingetumia. TehEvelyn Salt njoo uone uwazi unaopendwa😜
Evenly Salt mapaja yake yamejaa, hana uwazi, yeye anajoto tu kama tanuruTeh japo mi sio mtumiaji wa hizo, ila sijawahi kuvipenda, mi hata ke akiwa mwembamba yani dizaini ya wema sahivi ningekua me nisingetumia. Teh
Es ni mwanaume, ana body la mazoezi, six packs hizi hapa....kono la chumaEvenly Salt mapaja yake yamejaa, hana uwazi, yeye anajoto tu kama tanuru
Sijui nmepatia?