Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Nausubiria uzi tafwazaliMada ina aya 4. Ninamalizia mstari wa mwishoni katika aya ya 3. Tuvumiliane mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nausubiria uzi tafwazaliMada ina aya 4. Ninamalizia mstari wa mwishoni katika aya ya 3. Tuvumiliane mkuu.
Ninakushukuru Mkuu kwa matamanio hayo. Tunayathamini sana. Mkuu kama una mchango wowote katika mada hiyo usisite kutushirikisha.Nausubiria uzi tafwazali
Hapana sina mchango wala matamanio yoyote🧚♀️🧚♀️🧚♀️Ninakushukuru Mkuu kwa matamanio hayo. Tunayathamini sana. Mkuu kama una mchango wowote katika mada hiyo usisite kutushirikisha.
Kama unahizo feature hujachelewa mbona inbobo iko wazi! Round faced with sweet lipzWacha bhana 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Kwa bahati mbaya sina sifa hata moja kati ya hizo ulizoziorodhesha😌😌😌Kama unahizo feature hujachelewa mbona inbobo iko wazi! Round faced with sweet lipz
Wa kihivyo wanakuwaga na pango la amboni hatariSijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.
Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama[emoji4].
Wewe pia unavutiwa?
🤣🤣🤣🤣 this made my night!Ok umechaguliwa combi gani? Na shule mnafungua lini?
Daah. Sasa dada hapo amekujaje mkuu? Kwa hiyo unataka asiwe na uhuru wa kuchagua kitu akipendacho kwa mwanamke kisa dada yake anacho?Je akiwa na huo uwazi dada yako unajisikiaje? Yaani wewe umeangalia kitu kimoja tu! Sijui kama mwili wote ungekuwa sikio kichwa kingekuwa wapi.
Dah! Sawa bhana.Hapana sina mchango wala matamanio yoyote🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Wewe na Mimi wote tunaumwa huu ugonjwa aisee.Nilifikiri Niko peke yangu.Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.
Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama[emoji4].
Wewe pia unavutiwa?
Hiyo kwako na wenzako mkuu,Mimi hiyo gap ndo the best kwanguPamoja na yooote hayo wanawake weusi wenye shape za kibantu hawajawahi kuchuja na wala kuwa defeated pahala popote.
Kama hivi kwa cardi B
Sasa hapo wakati wa kupiga miti si unajikuta unapiga kwenye mifupa?Aisee hii kitu sio poa...nashukuru pisi yangu inayo...yani hata nikisimama nyuma yake naona mbele [emoji3]
Yaan wametoka,hata hawajua wanataka nn[emoji28]Aiseeee...kwenye camel toe mmetokaa tenaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Bro ukioa ngoma kama hii after maternity ya kwanza huo uwazi huwa unapoteaHuyu unaoa kabisa mkuu..
Pamoja ChiefDah! Sawa bhana.