Napenda akiwa na uwazi katikati, huwa navutiwa sana

Napenda akiwa na uwazi katikati, huwa navutiwa sana

The world of superficiality mindset !
The world of adulterers and fornicators. Mawazo ya uzinzi na uasherati yamewajaa ndiyo maana mnatamani tamani hovyo.

Leo utakutana na msichana mwenye thigh gap utamtamani, kesho utakutana na mwenye dimples utamtamani, kesho kutwa utakutana na mwenye lips pana utamtamani, mwingine utakutana naye ana umbo la hourglass utamtamani, mwenye macho makubwa ya mviringo utamtamani, mwenye macho ya kusinzia utamtamani........

Bahati mbaya sana huwezi ukampata mwenye kila sifa, utampata ana sifa hii lakini nyingine hana. Sasa utatamani wangapi? Utatamani mpaka lini?

Iko hivi,
Ukitaka kufurahia maisha yako basi mpende mtu kwa sababu mnaelewana na siyo sababu ya muonekano wake.
 
The world of superficiality mindset !
The world of adulterers and fornicators. Mawazo ya uzinzi na uasherati yamewajaa ndiyo maana mnatamani tamani hovyo.
Leo utakutana na msichana mwenye thigh gap utamtamani, kesho utakutana na mwenye dimples utamtamani, kesho kutwa utakutana na mwenye lips pana utamtamani, mwingine utakutana naye ana umbo la hourglass utamtamani, mwenye macho makubwa ya mviringo utamtamani, mwenye macho ya kusinzia utamtamani........

Bahati mbaya sana huwezi ukampata mwenye kila sifa, utampata ana sifa hii lakini nyingine hana. Sasa utatamani wangapi? Utatamani mpaka lini?

Iko hivi,
Ukitaka kufurahia maisha yako basi mpende mtu kwa sababu mnaelewana na siyo sababu ya muonekano wake.
Mwenye masikio na asikiee
 
The world of superficiality mindset !
The world of adulterers and fornicators. Mawazo ya uzinzi na uasherati yamewajaa ndiyo maana mnatamani tamani hovyo.
Leo utakutana na msichana mwenye thigh gap utamtamani, kesho utakutana na mwenye dimples utamtamani, kesho kutwa utakutana na mwenye lips pana utamtamani, mwingine utakutana naye ana umbo la hourglass utamtamani, mwenye macho makubwa ya mviringo utamtamani, mwenye macho ya kusinzia utamtamani........

Bahati mbaya sana huwezi ukampata mwenye kila sifa, utampata ana sifa hii lakini nyingine hana. Sasa utatamani wangapi? Utatamani mpaka lini?

Iko hivi,
Ukitaka kufurahia maisha yako basi mpende mtu kwa sababu mnaelewana na siyo sababu ya muonekano wake.
Pamoja na yooote hayo wanawake weusi wenye shape za kibantu hawajawahi kuchuja na wala kuwa defeated pahala popote.
 
Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.

Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama😊.

Wewe pia unavutiwa?

Je akiwa na huo uwazi dada yako unajisikiaje? Yaani wewe umeangalia kitu kimoja tu! Sijui kama mwili wote ungekuwa sikio kichwa kingekuwa wapi.
 
Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.

Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama[emoji4].

Wewe pia unavutiwa?

Wewe muongo, vinginevyo huyo baby mama angekuwa hiyo thigh gap
 
Sijui kwanini ila ndo ugonjwa wangu, mtoto akiwa ana space katikati ya mapaja yake/mapaja yaliokataana/kila paja liko upande wake(thigh gap) mimi hua sichomoi.

Mchina kama anaweza fanya hii pia mniambie nimpeleke baby mama😊.

Wewe pia unavutiwa?

Akiwa hivi, "naniliu" inakuwa wazi ('imeachama') muda wote, ama?
 
Back
Top Bottom