Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlaahHiyo tunaiita GLORY HOLE. A very special gift to a woman.
Hata sisi wanaume tunaona hivyohvyo.Wanaume vitu vinavyowavutiammmh vya kawaida sana
The world of superficiality mindset !
The world of adulterers and fornicators. Mawazo ya uzinzi na uasherati yamewajaa ndiyo maana mnatamani tamani hovyo.
Leo utakutana na msichana mwenye thigh gap utamtamani, kesho utakutana na mwenye dimples utamtamani, kesho kutwa utakutana na mwenye lips pana utamtamani, mwingine utakutana naye ana umbo la hourglass utamtamani, mwenye macho makubwa ya mviringo utamtamani, mwenye macho ya kusinzia utamtamani........
Bahati mbaya sana huwezi ukampata mwenye kila sifa, utampata ana sifa hii lakini nyingine hana. Sasa utatamani wangapi? Utatamani mpaka lini?
Iko hivi,
Ukitaka kufurahia maisha yako basi mpende mtu kwa sababu mnaelewana na siyo sababu ya muonekano wake
Tupoo tunawasubirii😅😅Tumehama kwa mda,tutarudi huko😂
Wanaume vitu vinavyowavutiammmh vya kawaida sana
ON u too..hellooooo🧚♀️🧚♀️🧚♀️Shame on you[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
KwaniniHapana kwa kweli! Hapo hata hisia zinakata mazima!!!
MrefuYaani mzigo mpana?
Ahaaa, so ni kujiachia tu eeeMrefu
Mambo?ON u too..hellooooo
Huo uwazi hapo, aaah wapi! Hauna hamasa bwana.. kitu kifichwe huko, tena kionekane kwa kuvimbavimba hivi😋🏃🏃Kwanini
Ni salama hiyoAhaaa, so ni kujiachia tu eee
Wacha bhana 😁😁😁umetisha ChiefHuo uwazi hapo, aaah wapi! Hauna hamasa bwana.. kitu kifichwe huko, tena kionekane kwa kuvimbavimba hivi😋🏃🏃
Hahaha kweli...hakuna kuchubuanaNi salama hiyo
Kwa YesuMambo?
KabisaHahaha kweli...hakuna kuchubuana