Napenda kujua elimu ya Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Nimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la kiingereza likampa ugumu kulitamka na alivyo mjanja akapiga blaah blaah zingine ili kutoka hapo.

Nikawasikia tena walivyompigia Kamishna wa Polisi Muliro ili aongelee kuhusu zuio la Maandamano ya issue ya Bandari(DP World). Kuna sentence za kiingereza alizizungumza CP Muliro lakini jamaa hawakuzichangia katika mijadala yao na wakamuaga faster.

So far nawakubali sana.

Kuna watu wamepata chance katika maisha kiujanja ujanja tu na jamii ikawaamini na kuwakubali.
 
Ni form Four failures with FIGHT FOR FOOD FIRST! scores
 
Miongoni mwa fani ambazo ili utoke na kukubalika ktk jamii haihitaji kwenda sana shule ni uandishi wa habari...ni ujanja ujanja tu!.
Zembwela na Kitenge ni mfano thabiti.
Ila ni kwa hapa Bongo tu, kwa wenzetu lazima usome. Nadhani Bongo kuna watu wanaweza kufanya kazi za Uwakili mahakamani hata bila kuwa na elimu ya Sheria sema basi tu taratibu haziruhusu
 
Acha Makasiriko ndugu. Tunachotaka kujua ni kiwango chake cha elimu ili kama hana taaluma ya mambo ya habari iwe ni MOTIVATION kwa vijana wengine kuwa unaweza kuchomoka vizuri tu KIUJANJAJANJA
 
Acha Makasiriko ndugu. Tunachotaka kujua ni kiwango chake cha elimu ili kama hana taaluma ya mambo ya habari iwe ni MOTIVATION kwa vijana wengine kuwa unaweza kuchomoka vizuri tu KIUJANJAJANJA
Leta Siivii yako hapa kwanza, acha janja janja wewe
 
Nikawasikia tena walivyompigia Kamishna wa Polisi Muliro ili aongelee kuhusu zuio la Maandamano ya issue ya Bandari(DP World). Kuna sentence za kiingereza alizizungumza CP Muliro lakini jamaa hawakuzichangia katika mijadala yao na wakamuaga faster.
Ndiyo maana wanapotosha jamii kwa kiasi kikubwa kwakuwa wote ni waokotezaji
 

Pale alebukua ni handle tuu kafika form 6 ila kitenge na mwenzangu mie hilary janja janja ya mdomoni tuu maisha yanaenda ni kama yule baba levo nae wale wale tuu
 
hando mtaalamu wa IT
 
Lakini ndio hivyo wamethibitisha kuwa you can chance life in any way na pia wamethibitisha unaweza kutumia kipaji chako kumuweka bench mwenye CV ya darasani.
 
Mkuu, nakuheshimu ila umeandika ujinga mtupu. Kujua lugha fulani ni kipengele kimojawapo tu miongoni mwa vingi vinavyohusu suala la ufarisi wa mtu kiakili.
 
nonsense!
 
Mkuu, nakuheshimu ila umeandika ujinga mtupu. Kujua lugha fulani ni kipengele kimojawapo tu miongoni mwa vingi vinavyohusu suala la ufarisi wa mtu kiakili.
kuna mtu aliwahi kusema "njia moja wapo ya kuficha ..... wako ni kukaa kimya" kujua
kiingereza kingekuwa kipimo cha akili/kigezo muhimu watu tungekuwa mbali sana
 
Ila ni kwa hapa Bongo tu, kwa wenzetu lazima usome. Nadhani Bongo kuna watu wanaweza kufanya kazi za Uwakili mahakamani hata bila kuwa na elimu ya Sheria sema basi tu taratibu haziruhusu
Una maanisha elimu ya darasani au isio rasmi.
Kuna mdada mmoja nilikuwa namfatilia anaitwa elon ni self learned electronics Engineer. Aisee amefanya project nyingi. Ame invent devices na anatumika na makampuni mengi.
Kina Maulidi ni aina ya hao watu na ni self learned, wapo dunua nzima tusidanganyane hapa.
 
kitenge ana diploma ya uandishi wa habari chuo tsj ya zamani,zembwela la saba,gerald hando chuo kikuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…