Napenda kujua elimu ya Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela

Napenda kujua elimu ya Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela

Tanzania we jua kupiga domo

Utawekwa sehemu yoyote tu na watu

Watakufatilia

Ova
 
Nakwambia wewe ni darasa la saba, tena failure. Kama umeingia sekondari ungeliona uhusiano niliousema. Zamani kulikuwa na Science 1 and Science 2 then Arts. Wale waliokuwa wanajua Physics, mathematics , aditional maths, chemistry, Biology ndio walikuwa science 1&2. Wengine "tusiojua hayo" tunawekwa Arts tukitumainiwa tuwe mabingwa wa lugha..swahili, english , history na mengine yaliyobaki. Sprisingly enough, hao hao wa scince ndio walikuwa wanaongoza masomo pia ya arts na kiingereza wanapata A.
Sijaelewa huu ujinga ulioandika unarandana vipi na kutetea shudu lako la English ndiyo kipimo cha akili


Hata hivyo, unataka kusema nikimsikiliza mtoto wa mmarekani akiwa anaongea lugha yake English, basi huyo atakuwa na uwezo mkubwa wa kiakili na maarifa ya kusovu maths, physics na masomo yote magumu?

jifiche mkuu, unajivua nguo watu wanadele pumbu hizo zina hang
 
Nimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la kiingereza likampa ugumu kulitamka na alivyo mjanja akapiga blaah blaah zingine ili kutoka hapo.

Nikawasikia tena walivyompigia Kamishna wa Polisi Muliro ili aongelee kuhusu zuio la Maandamano ya issue ya Bandari(DP World). Kuna sentence za kiingereza alizizungumza CP Muliro lakini jamaa hawakuzichangia katika mijadala yao na wakamuaga faster.

So far nawakubali sana.

Kuna watu wamepata chance katika maisha kiujanja ujanja tu na jamii ikawaamini na kkwenye uandishi was habar wenye elimu wanakufa njaa wajanja wajanja kina juma lokole na kina baba levo ndio wanakufa Manisha
 
Tanzania we jua kupiga domo

Utawekwa sehemu yoyote tu na watu

Watakufatilia

Ova
Haaaahaaaah!! Hakika umeongea uhalisia. Tz ukiwa na mdomo na vitimbwi ujue umeshatoka kimaisha. Angalia Kitenge na Zembwela jinsi uchambuzi wa kikomedi unavyowang'arisha, angalia Piere Liquid, Mandonga, Makonda alivyomkwida mzee warioba . Hata Mbunge Musukuma ni Mdomo tu ndio umempa umaarufu
 
Elimu sio shida, tumekuwa na viongozi wenye elimu levels zote mpaka Phd tena toka vyuo vikali kama Havard, ila huwezi ona faida ya usomi wao.
 
Nakwambia wewe ni darasa la saba, tena failure. Kama umeingia sekondari ungeliona uhusiano niliousema. Zamani kulikuwa na Science 1 and Science 2 then Arts. Wale waliokuwa wanajua Physics, mathematics , aditional maths, chemistry, Biology ndio walikuwa science 1&2. Wengine "tusiojua hayo" tunawekwa Arts tukitumainiwa tuwe mabingwa wa lugha..swahili, english , history na mengine yaliyobaki. Sprisingly enough, hao hao wa scince ndio walikuwa wanaongoza masomo pia ya arts na kiingereza wanapata A.
Hapa mkuu umejipinga mwenyewe.
Wale wanafunzi waliokuwa wanawekwa madarasa ya sayansi walikuwa wana uwezo mkubwa wa kukariri mambo na ndio maana walikuwa wanabutua kotekote na kutusua masomo yote haimaanishi kwamba walikuwa wanajua lugha.
Yaani kwa kifupi hawakuwa hata na huo muda wa kujifunza kuongea lugha,hata kuna wengine ukiwaongelesha kiingereza wananyamaza kama mabubu ila wangojee siku ya pepa uone maajabu yao.
Kwa hiyo kujua lugha ya kiingereza haina uhusiano wowote na uwezo wa akili na ndio maana wachina na wakorea hawajui kabisa kiingereza na wanatamba.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
kuna mtu aliwahi kusema "njia moja wapo ya kuficha ..... wako ni kukaa kimya" kujua
kiingereza kingekuwa kipimo cha akili/kigezo muhimu watu tungekuwa mbali sana
Jiulize ni kwanini Kenya yupo mbali sana kuliko sisi, jiulize ni kwanini Kenya, Nigeria, Uganda, Ghana nk wana raia wengi nchi za nje hasa Ulaya na Marekani, Jiulize ni kwanini wa Kenya wengi wapo kwenye Mashirika ya kimataifa ikiwa ni pamoja na UN.
Siseme kujua kiingereza ndio akili, la hasha bali kuijua hiyo lugha inakufanya ufunguke kiakili zaidi na kifikra, inakufanya uwe mjanja zaidi tofauti na kuwa msomi usiyejua Kiingereza vema ina maana utakuwa umeji limit na utakuwa mjanja wa hapahapa tu. Hivi unajua ni kwanini wasomi wetu wa Sheria ni wa hapahapa tu, hebu mchukuwe wakili wa kibongo akakutetee kwenye mahakama za ughaibuni.
Jiulize ni kwanini wahindi wametapakaa kila kona duniani, jiulize ni kwanini wa hindi waliopo hapa Bongo wanahakikisha watoto wao wanajua kiingereza vizuri nafasaha kuliko kiswahili.

MNATAKA TUJIFUNGIA KAMA KOREA KASKAZINI.

Mnataka wachezaji wetu waendelee kutapeliwa kusaini mikataba feki(Fei toto).
 
Wanapata riziki yao tu as long wanalipwa.
Yuko Dubai huyo mwingine kapendeeza na baibui lake
 
Ukiniambia Gerald Hando ni Msomi nitaamini ila Maulid Kitenge nakataa kabisa labda awe amepata hiyo diploma kiujanjaujanja tu. Na kuhusu Zembweli asitiriwe tu maana hakuna namna, kundi lake ni Mkwere, Joti, Masanja na MPOKI
kitenge kasoma diploma ya journalism tanzania school of journalism ile ya zamani kabla haijaunganishwa na chuo kikuu cha udsm,wakati huo chuo kilikuwa kinatoa diploma ya journalism
 
Lakini wewe unafikiri wana hiyo intellectual capacity ya kujenga hoja, bila hata kusoma sana madarasani?

Kusema kweli namkubali sana Masoud Kipanya. The guy is brilliant. Amezaliwa huku kwetu, ni ngum sana kueleweka na kukubalika.
ni kweli jamaa yuko njema kichwani
 
Nimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la kiingereza likampa ugumu kulitamka na alivyo mjanja akapiga blaah blaah zingine ili kutoka hapo.

Nikawasikia tena walivyompigia Kamishna wa Polisi Muliro ili aongelee kuhusu zuio la Maandamano ya issue ya Bandari(DP World). Kuna sentence za kiingereza alizizungumza CP Muliro lakini jamaa hawakuzichangia katika mijadala yao na wakamuaga faster.

So far nawakubali sana.

Kuna watu wamepata chance katika maisha kiujanja ujanja tu na jamii ikawaamini na kuwakubali.
Waandishi wa Habari wengi hapa Tz elimu yo mashakaka au ungaunga mwana
 
Nilikuwa naongea siku moja na PhD holder mmoja, ana maisha magumu sana; anaishi kwa vipindi tu vya madarasani; mpaka anafikia kusema phd kwake haina msaada wowote, bora tu apambane aingie kwenye siasa.
Kwa hiyo, kuna njia nyingi za kufanikiwa, si lazima uende shule. Ukiweza kupiga porojo, maisha yanaenda.​
 
kitenge kasoma diploma ya journalism tanzania school of journalism ile ya zamani kabla haijaunganishwa na chuo kikuu cha udsm,wakati huo chuo kilikuwa kinatoa diploma ya journalism
Kwahiyo kipindi hicho walikuwa wanafundishwa Kiswahili au?? Maana Kitenge hajawahi kusikika akiongea kiingereza
 
Ukiniambia Gerald Hando ni Msomi nitaamini ila Maulid Kitenge nakataa kabisa labda awe amepata hiyo diploma kiujanjaujanja tu. Na kuhusu Zembweli asitiriwe tu maana hakuna namna, kundi lake ni Mkwere, Joti, Masanja na MPOKI
Hivi mkuu kozi ya uandishi wa habari ina nini kikubwa zaidi ya kufunzwa maadili ya kazi.
Kuongea na kusoma habari ni vitu vigumu sana kama ku design madaraja au software au kumpasua mtu?
Hisp x kuna mtu alikaa na madokta wa kizungu mda mrefu na akawa anaaminika hadi kufanya operation.
Kuongea ongea tu mnataka ku complucate acheni hizo.
Duniani kuna elimu na talent. Hao wanabebwa na talent na kila chombo cha habari kinapenda kiwe na talents kama hizo ila havina.
Zimbewela amepitia mambo mengi na anajua mengi kama utamsikiliza kwa makini.
 
Hivi mkuu kozi ya uandishi wa habari ina nini kikubwa zaidi ya kufunzwa maadili ya kazi.
Kuongea na kusoma habari ni vitu vigumu sana kama ku design madaraja au software au kumpasua mtu?
Hisp x kuna mtu alikaa na madokta wa kizungu mda mrefu na akawa anaaminika hadi kufanya operation.
Kuongea ongea tu mnataka ku complucate acheni hizo.
Duniani kuna elimu na talent. Hao wanabebwa na talent na kila chombo cha habari kinapenda kiwe na talents kama hizo ila havina.
Zimbewela amepitia mambo mengi na anajua mengi kama utamsikiliza kwa makini.
Kuna kazi ni nyeti sana na zinahitaji uelewa mpana kitaaluma na sio talent. Mwanahabari asiyekuwa na elimu ya kutosha kumuwezesha kupambanua mambo ni hatari kwa jamii na Taifa kwasababu kila atakachoambiwa yeye atakipamba tu au kukikosoa tofauti na uhalisia. Ni kama wabunge wenye elimu ndogo mara nyingi WANAFUATA MOOB PSYCHOLOGY AU CHAMA KINATAKA NINI
 
Back
Top Bottom