Napenda kujua elimu ya Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela

Napenda kujua elimu ya Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela

Jiulize ni kwanini Kenya yupo mbali sana kuliko sisi, jiulize ni kwanini Kenya, Nigeria, Uganda, Ghana nk wana raia wengi nchi za nje hasa Ulaya na Marekani, Jiulize ni kwanini wa Kenya wengi wapo kwenye Mashirika ya kimataifa ikiwa ni pamoja na UN.
Siseme kujua kiingereza ndio akili, la hasha bali kuijua hiyo lugha inakufanya ufunguke kiakili zaidi na kifikra, inakufanya uwe mjanja zaidi tofauti na kuwa msomi usiyejua Kiingereza vema ina maana utakuwa umeji limit na utakuwa mjanja wa hapahapa tu. Hivi unajua ni kwanini wasomi wetu wa Sheria ni wa hapahapa tu, hebu mchukuwe wakili wa kibongo akakutetee kwenye mahakama za ughaibuni.
Jiulize ni kwanini wahindi wametapakaa kila kona duniani, jiulize ni kwanini wa hindi waliopo hapa Bongo wanahakikisha watoto wao wanajua kiingereza vizuri nafasaha kuliko kiswahili.

MNATAKA TUJIFUNGIA KAMA KOREA KASKAZINI.

Mnataka wachezaji wetu waendelee kutapeliwa kusaini mikataba feki(Fei toto).
Kuhusu kukosa nafasi za kazi UN na mashirika makubwa duniani, nadhani ni mfumo wa kijamaa umetulemaza sana wabongo
 
Kuna kazi ni nyeti sana na zinahitaji uelewa mpana kitaaluma na sio talent. Mwanahabari asiyekuwa na elimu ya kutosha kumuwezesha kupambanua mambo ni hatari kwa jamii na Taifa kwasababu kila atakachoambiwa yeye atakipamba tu au kukikosoa tofauti na uhalisia. Ni kama wabunge wenye elimu ndogo mara nyingi WANAFUATA MOOB PSYCHOLOGY AU CHAMA KINATAKA NINI
Kama yule mbunge mwenye inferiority complex ya kutisha anasagia elimu.Anaharibu sana watoto kisaikolojia kuhusu elimu anakera mno
 
Inategemea, kwa sisi experience shows that those who master english language fluently are good performers in all subjects in schools.

Ebu niandikie sentensi hii kwa kiingereza; Kama isingelikuwa katiba mbovu aliyoacha Nyerere, nchi hii isingelikuwa kwenye mgogoro mkubwa wa mikataba ya kikatiba inayoendelea sasa na itakatokuja baadaye
(ukiona umekwenda kuomba msaada, ujue kujua kiingereza kinaweza kuwa kipimo cha akili na elimu yakozako zikoje
Uganda ndio wana fluent English best kuliko yyte east Africa na still ni majinga
 
Nimependa yale mabegi waliobeba walipotoka DP offices. Amazing!
 
Kwani kujua Ingilishi ndiyo elimu?
Kwa mtaala wa tanzania, ili upate elimu ya kuanzia sekondari, lugha ya kufundishia na ya mawasiliano ni kiingereza.

Sasa utapataje elimu ya Tanzania bila kujua lugha ya kufundishia na mawasiliano ambayo ni English?
 
Mimi naona Kuna kutulia Fulani kunakosekana Gerald Hando yuko vzr sana basi tu Bado hajapata Chemistry...[emoji1]chemistry aliiicha clouds..Pb Enzi hizo Phina Mango,Kp na Hando mwenyewe[emoji13]
Ile pb ya fina, gerald na kipanya ilikuwa ya moto sana. Hando alikuwa na msemo wake "mtu tatu kama bilioni tatu"... clouds ilijitahidi sana kuweka watu sahihi kwenye kila kipindi.
 
Kingereza ni lugha ya Kama kiswahili tu. Imepewa umuhimu kwasababu ndiyo lugha inayotumika kufundishia mashule.

Kingereza hakina uhusiano wowote na kipimo cha akili au uwezo wakiakili wa mtu.

Mkuu ficha ujinga wako kutunza brand yako.
Wewe mpuuzi acha kujidanganya
 
Tanzania we jua kupiga domo

Utawekwa sehemu yoyote tu na watu

Watakufatilia

Ova
Kweli kabisa Mrangi. Kuna kampuni nilikuwa nafanya kazi akaletwa jamaa fulani kaishia darasa la 6 ila mpiga domo hatari. Sisi tunamuita mwenye kampuni boss yeye bila aibu anamuita Baba halafu ni namba moja kwenye ushauri. Kajamaa kalikuwa kanoko hatari. Hakuna jambo mtafanya asimfikishie boss. Ilifika point akawa kama Naibu boss.. hadi naondoka tayari alikuwa anaogopeka hadi na mainjinia waliokuwa kwenye ile kampuni.
 
Nimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la kiingereza likampa ugumu kulitamka na alivyo mjanja akapiga blaah blaah zingine ili kutoka hapo.

Nikawasikia tena walivyompigia Kamishna wa Polisi Muliro ili aongelee kuhusu zuio la Maandamano ya issue ya Bandari(DP World). Kuna sentence za kiingereza alizizungumza CP Muliro lakini jamaa hawakuzichangia katika mijadala yao na wakamuaga faster.

So far nawakubali sana.

Kuna watu wamepata chance katika maisha kiujanja ujanja tu na jamii ikawaamini na kuwakubali.
Kaka kiingereza n kusoma sana?
 
Kaka kiingereza n kusoma sana?
Huwezi kujiita msomi halafu hujui kiingereza. Inamaana ulisomaje sasa. Hasa elimu baada ya kumaliza form 4 au form 6.

Kama mlikuwa mnakariri tu na kumeza pamphlet badala ya kuelewa basi Msitafute excuse
 
Nimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la kiingereza likampa ugumu kulitamka na alivyo mjanja akapiga blaah blaah zingine ili kutoka hapo.

Nikawasikia tena walivyompigia Kamishna wa Polisi Muliro ili aongelee kuhusu zuio la Maandamano ya issue ya Bandari(DP World). Kuna sentence za kiingereza alizizungumza CP Muliro lakini jamaa hawakuzichangia katika mijadala yao na wakamuaga faster.

So far nawakubali sana.

Kuna watu wamepata chance katika maisha kiujanja ujanja tu na jamii ikawaamini na kuwakubali.
Kuna Mmoja Elimu yake ni Kulelewa Tanzania, Dubai ( UAE ) na Marekani, Kusodoma na Kusodomiwa.

Kuna Mmoja Elimu yake ni Kuvuta Bangi sana Mikocheni, Ubongo, Sinza ,Manzese na Kuigaiga Mambo.

Kuna Mmoja Elimu yake ni Kulewa Gambe hadi Kuzima kabisa na Kueneza Virusi vyake vya 1981.

Sitaki Maswali yoyote yale tafadhali.
 
Kiingereza sio elimu lakini huwezi kukiweka kando kiingereza na kipimo cha elimu kwa mitaala ya elimu yetu.....Kwa kifupi huwezi kupata elimu au maarifa kwenye mitaala yetu kama hujui kiingereza maana ndio lugha rasmi ya kufundishia.....

Mtu mwenye kujua vyema na kuongea kiingereza anahesabika ni mwenye elimu na maarifa kwa kuwa ndio lugha rasmi na pekee kwenye kujipatia elimu na maarifa.....hata vitabu vingi vyenye elimu kubwa na maarifa makubwa vinatumia lugha hiyo kama njia ya kuwasilisha kilichopo humo.......

Sasa kama mtu hujui kiingereza utapataje hiyo elimu.........

Kujua English kunanasibihiana na kiwango cha elimu hapa kwetu kwa kiwango kikubwa sana isipokuwa tu sio wote wenye kujua English na Wana elimu......
 
Haaaahaaaah!! Hakika umeongea uhalisia. Tz ukiwa na mdomo na vitimbwi ujue umeshatoka kimaisha. Angalia Kitenge na Zembwela jinsi uchambuzi wa kikomedi unavyowang'arisha, angalia Piere Liquid, Mandonga, Makonda alivyomkwida mzee warioba . Hata Mbunge Musukuma ni Mdomo tu ndio umempa umaarufu
Mbongo we wapige domo+tantalila nyingi utawapata

Ova
 
Zembwela zamani alikuwa fundi garage tu.....akaingia kwenye sanaa
Kuongeaongea kwake,ndiyo hivyo tena leo mwandishi
Kwani wakina mbwiga si walewale tu

Ova
 
Kweli kabisa Mrangi. Kuna kampuni nilikuwa nafanya kazi akaletwa jamaa fulani kaishia darasa la 6 ila mpiga domo hatari. Sisi tunamuita mwenye kampuni boss yeye bila aibu anamuita Baba halafu ni namba moja kwenye ushauri. Kajamaa kalikuwa kanoko hatari. Hakuna jambo mtafanya asimfikishie boss. Ilifika point akawa kama Naibu boss.. hadi naondoka tayari alikuwa anaogopeka hadi na mainjinia waliokuwa kwenye ile kampuni.
Duh

Ova
 
Back
Top Bottom