Napenda kujua elimu ya Maulid Kitenge, Gerald Hando na Zembwela

Miongoni mwa fani ambazo ili utoke na kukubalika ktk jamii haihitaji kwenda sana shule ni uandishi wa habari...ni ujanja ujanja tu!.
Zembwela na Kitenge ni mfano thabiti.
hapana kitenge kasoma tsj
 
Ndio maana yeye anapokuwa kwenye mijadala anakuwa hana MIHEMKO kama Kitenge na Zembwela
Mtu mwenye vitu kichwani huwa haongei sana.
Hata hivyo usomaji wa magazeti wa kitenge siupendi, wameudishe yule mwenzie na ndimu
 
kitenge ana diploma ya uandishi wa habari chuo tsj ya zamani,zembwela la saba,gerald hando chuo kikuu
Ukiniambia Gerald Hando ni Msomi nitaamini ila Maulid Kitenge nakataa kabisa labda awe amepata hiyo diploma kiujanjaujanja tu. Na kuhusu Zembweli asitiriwe tu maana hakuna namna, kundi lake ni Mkwere, Joti, Masanja na MPOKI
 
Mimi naona Kuna kutulia Fulani kunakosekana Gerald Hando yuko vzr sana basi tu Bado hajapata Chemistry...[emoji1]chemistry aliiicha clouds..Pb Enzi hizo Phina Mango,Kp na Hando mwenyewe[emoji13]
 
Kingereza ni lugha ya Kama kiswahili tu. Imepewa umuhimu kwasababu ndiyo lugha inayotumika kufundishia mashule.

Kingereza hakina uhusiano wowote na kipimo cha akili au uwezo wakiakili wa mtu.

Mkuu ficha ujinga wako kutunza brand yako.
 
Kingereza ni lugha ya Kama kiswahili tu. Imepewa umuhimu kwasababu ndiyo lugha inayotumika kufundishia mashule.

Kingereza hakina uhusiano wowote na kipimo cha akili au uwezo wakiakili wa mtu.

Mkuu ficha ujinga wako kutunza brand yako.
Wale wale! Nani kasema english is not a language like other languages.

Swali kwako: Ebu niandikie sentensi hii kwa kiingereza; Kama isingelikuwa katiba mbovu aliyoacha Nyerere, nchi hii isingelikuwa kwenye mgogoro mkubwa wa mikataba ya kikatiba inayoendelea sasa na itakatokuja baadaye
(ukiona umekwenda kuomba msaada, ujue kujua kiingereza kinaweza kuwa kipimo cha akili na elimu yakozako zikoje
 
Ukiniambia Gerald Hando ni Msomi nitaamini ila Maulid Kitenge nakataa kabisa labda awe amepata hiyo diploma kiujanjaujanja tu. Na kuhusu Zembweli asitiriwe tu maana hakuna namna, kundi lake ni Mkwere, Joti, Masanja na MPOKI
Mpoki ana kidato Cha sita jitee
 
Kingereza ni lugha ya Kama kiswahili tu. Imepewa umuhimu kwasababu ndiyo lugha inayotumika kufundishia mashule.

Kingereza hakina uhusiano wowote na kipimo cha akili au uwezo wakiakili wa mtu.

Mkuu ficha ujinga wako kutunza brand yako.
Nakwambia wewe ni darasa la saba, tena failure. Kama umeingia sekondari ungeliona uhusiano niliousema. Zamani kulikuwa na Science 1 and Science 2 then Arts. Wale waliokuwa wanajua Physics, mathematics , aditional maths, chemistry, Biology ndio walikuwa science 1&2. Wengine "tusiojua hayo" tunawekwa Arts tukitumainiwa tuwe mabingwa wa lugha..swahili, english , history na mengine yaliyobaki. Sprisingly enough, hao hao wa scince ndio walikuwa wanaongoza masomo pia ya arts na kiingereza wanapata A.
 
Makanjanja tu hawana elimu yeyote

Wazee wa fursa kokote we twende hata kama maslahi ya TAIFA Yako rahani.

Wako Dubai kwa udhamini Waarabu
 
Hando pekee ana Elimu nzuri anaangushwa na NJAA! Hao wengine ndo matabulalasa tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…