fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
hapana kitenge kasoma tsjMiongoni mwa fani ambazo ili utoke na kukubalika ktk jamii haihitaji kwenda sana shule ni uandishi wa habari...ni ujanja ujanja tu!.
Zembwela na Kitenge ni mfano thabiti.
Mtu mwenye vitu kichwani huwa haongei sana.Ndio maana yeye anapokuwa kwenye mijadala anakuwa hana MIHEMKO kama Kitenge na Zembwela
Ukiniambia Gerald Hando ni Msomi nitaamini ila Maulid Kitenge nakataa kabisa labda awe amepata hiyo diploma kiujanjaujanja tu. Na kuhusu Zembweli asitiriwe tu maana hakuna namna, kundi lake ni Mkwere, Joti, Masanja na MPOKIkitenge ana diploma ya uandishi wa habari chuo tsj ya zamani,zembwela la saba,gerald hando chuo kikuu
Kingereza ni lugha ya Kama kiswahili tu. Imepewa umuhimu kwasababu ndiyo lugha inayotumika kufundishia mashule.Inategemea, kwa sisi experience shows that those who master english language fluently are good performers in all subjects in schools.
Ebu niandikie sentensi hii kwa kiingereza; Kama isingelikuwa katiba mbovu aliyoacha Nyerere, nchi hii isingelikuwa kwenye mgogoro mkubwa wa mikataba ya kikatiba inayoendelea sasa na itakatokuja baadaye
(ukiona umekwenda kuomba msaada, ujue kujua kiingereza kinaweza kuwa kipimo cha akili na elimu yakozako zikoje
Wale wale! Nani kasema english is not a language like other languages.Kingereza ni lugha ya Kama kiswahili tu. Imepewa umuhimu kwasababu ndiyo lugha inayotumika kufundishia mashule.
Kingereza hakina uhusiano wowote na kipimo cha akili au uwezo wakiakili wa mtu.
Mkuu ficha ujinga wako kutunza brand yako.
Mpoki ana kidato Cha sita jiteeUkiniambia Gerald Hando ni Msomi nitaamini ila Maulid Kitenge nakataa kabisa labda awe amepata hiyo diploma kiujanjaujanja tu. Na kuhusu Zembweli asitiriwe tu maana hakuna namna, kundi lake ni Mkwere, Joti, Masanja na MPOKI
FIGHTING FOR FOOD FURIOUSLY FOR FOUR FUCKING YEARS 🤣Ni form Four failures with FIGHT FOR FOOD FIRST! scores
Nakwambia wewe ni darasa la saba, tena failure. Kama umeingia sekondari ungeliona uhusiano niliousema. Zamani kulikuwa na Science 1 and Science 2 then Arts. Wale waliokuwa wanajua Physics, mathematics , aditional maths, chemistry, Biology ndio walikuwa science 1&2. Wengine "tusiojua hayo" tunawekwa Arts tukitumainiwa tuwe mabingwa wa lugha..swahili, english , history na mengine yaliyobaki. Sprisingly enough, hao hao wa scince ndio walikuwa wanaongoza masomo pia ya arts na kiingereza wanapata A.Kingereza ni lugha ya Kama kiswahili tu. Imepewa umuhimu kwasababu ndiyo lugha inayotumika kufundishia mashule.
Kingereza hakina uhusiano wowote na kipimo cha akili au uwezo wakiakili wa mtu.
Mkuu ficha ujinga wako kutunza brand yako.
umemaliza kaziFIGHTING FOR FOOD FURIOUSLY FOR FOUR FUCKING YEARS 🤣
Yaani mwendo wa mswaki mwanzo mwenga.FIGHTING FOR FOOD FURIOUSLY FOR FOUR FUCKING YEARS [emoji1787]
Hahahah mwanzo mwaiYaani mwendo wa mswaki mwanzo mwenga.
Hando pekee ana Elimu nzuri anaangushwa na NJAA! Hao wengine ndo matabulalasa tupuNimesukumwa kutaka kuwajua vema hawa watu baada ya kufuatilia mijadala wanayoiendesha katika vipindi. Juzi nilimsikia Kitenge akisoma Magazeti kwa bashasha lakini nikashangaa kuna neno la kiingereza likampa ugumu kulitamka na alivyo mjanja akapiga blaah blaah zingine ili kutoka hapo.
Nikawasikia tena walivyompigia Kamishna wa Polisi Muliro ili aongelee kuhusu zuio la Maandamano ya issue ya Bandari(DP World). Kuna sentence za kiingereza alizizungumza CP Muliro lakini jamaa hawakuzichangia katika mijadala yao na wakamuaga faster.
So far nawakubali sana.
Kuna watu wamepata chance katika maisha kiujanja ujanja tu na jamii ikawaamini na kuwakubali.
Nasema na wewe ni wale wa Foolishly Fighting Furiously For Food For Four Full Yearsnonsense!
kingereza cha wapi hicho[emoji28]Nasema na wewe ni wale wa Foolishly Fighting Furiously For Food For Four Full Years